ShukraniSifa uwe na uzoefu na komputa, malipo nafkr inatgmea na halmashaur huska
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau na picha za wazamini watatu na picha mbili
Hapa sijuhi walimanisha nini ??
Una uhakika?
Picha 3 zake za hivi karibuni na wadhamini wawili (referees)3 za wadhamini 2 zako.
Kuanzia semina mpaka mpaka zile siku 7 za kazi unapata 200000 na usheee
Bt ni kazi simple sana bt umakini unahtajika sana wakati wa kuingiza taarifa
So jipendekeze kwa maARO kata upate huo mchongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee naomba na mimi linki basi kama ukiweza mkuuA alaykum.
Naombeni mwenye kujua kuhusu hi ajira huwa wanalipaje lipaje na wanaangalia vigezo vp kukupa ajira.
Mbarikiwe
Kwa siku 20000 au 25000 kulingana na halmashauri lakn passprt mbili za wadhamini na yako moja kikubwa uwe unajua kompyuta ndowanachozingatia hasaA alaykum.
Naombeni mwenye kujua kuhusu hi ajira huwa wanalipaje lipaje na wanaangalia vigezo vp kukupa ajira.
Mbarikiwe
Ni sawa unachokisema lakn mie nilipta tena bila connection jarbu tyu mpendwa kama ipo ipo tu utaptaKumbuka hiyo kazi huwezi pata kama hauna connection
Samahani Mimi sio mtoa mada ila nakupa jibuMtoa mada kama hautojali tupe taarifa zaidi kuhusu iyo kazi nasie tuweze kutuma maombi tujaribu bahati zetu.
Samahani Mimi sio mtoa mada ila nakupa jibu
Deadline ilikuwa 30-01-2020
kweli ila kwetu huku walitupeleka race kweli mzee ila tulifanikiwaView attachment 1345041
mwisho ni leo
Hizi kazi ni kinondoni tu au nchi nzima?View attachment 1345041
mwisho ni leo