Recent content by Lulagumye

  1. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Ubarikiwe sana ndugu yangu
  2. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Asante Sana. Naendelea kutafuta mawasiliano ili January aweze kujiunga nao
  3. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Ubarikiwe sana ndugu. Ninashukuru sana. 🙏🏾🙏🏾
  4. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Yupo darasa la 5, mkoa wowote kama shule ipo nampeleka. Asante sana kwa ushauri
  5. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Asante sana, ningepata jina la shule ingerahisisha. Nashukuru sana, naendelea kuulizia kwa wadau waliopo Morogoro
  6. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Asante sana, naendelea kutafuta mawasiliano yao
  7. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya msingi ya bweni ya binafsi inayotumia mtaala wa Kiswahili

    Naombeni msaada kwa anaefahamu shule ya msingi ya binafsi inayotumia Kiswahili. Nitafurahi nikioata mawasiliano ya shule husika. Natanguliza shukrani.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

    Ili ueleweke vizuri,ungefafanua kwa kutumia jedwali linalooneshe Mwaka na Bei na Mwaka ambao Corona na Vita vya urusi vimeanza. Otherwise graph itasumbua wengi
  9. L

    JamiiForums Tanzania TANZIA Colin Powell, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa kwanza Mweusi wa Marekani, afariki Dunia kwa COVID-19

    Tena chanjo 3 i.e. He was fully vaccinated
  10. L

    JamiiForums Tanzania CV ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hessein Kattanga

    Asante sana
  11. L

    JamiiForums Tanzania CV ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hessein Kattanga

    Habari ndugu zangu, naomba mwenye CV ya Katibu Mkuu Kiongozi mpya, Balozi Hessein Katanga, atupatie. Sisi kama wananchi tunahitaji kumfahamu vizuri Kiongozi wetu huyu...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

    Kwa hiyo kipindi wanaahidi kwenye Ilani ya CCM walikuwa wanatuchezea sio ee? Wanatuona wajinga wajinga eehee?
  13. L

    JamiiForums Tanzania Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    We utakuwa beberu we we, wanyonge woote karibuni TTCL, TTCL Oyeeeee,mabando huwezi kumaliza huku, Magufuli oyeeeee, CCM oyeeee, wanyonge oyeeeeee
  14. L

    JamiiForums Tanzania Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    Acha kuhangaika, hamia TTCL kila siku nakwambia nyumbani kumenoga, huku mabando mpaka huwezi kuyamaliza. CCM oyeeee, Magufuli oyeee....
Back
Top Bottom