Kiwanja kipo mtwara ekari moja na kimepimwa kipo pembeni mwa barabara ya mtwara- dar maeneo ya kirimahewa ni km tatu na nusu kutoka mtwara mjini bei ni pouwa mawasiliano lukujuma@yahoo.com ,0754756100,0656071876
Kwa yeyeto anayehitaji kiwanja hecka moja kipo maeneo ya mikindani mtwara barabara kuu ya mtwara dar-es-salam wasilana na mimi kupitia namba 0656071876 or 0754756100
Wana jamii forums naomba munisaidie nateseka na ulcers nimetumia dawa tofauti lakini sipati haueni nimiezi minne iliyopita mpaka nimeshindwa kuendelea na masomo nani ambaye anafahamu dawa anisaidie au hata ushauri pls!!!!!!!!!!!!!
dah kumbe watu wa jf niwabaya sana toka lini pilipili+chumvi+limau hiyo ni acid kali mno unataka kuunguza uume wa wenzio we mtu mbaya sana inaawezekana sio binadamu wwe
mmmh! jamani amini musiamini mi niliwahi kukutana na mwanamke mmoja wa jf nikakimbia mbio usijiroge hawa wote ni wahuni tu hakuna mwenye mapenzi hapa nitaka kutafuta mchumba cos ninaokutananao hawafikii vigezo vyangu nikakutana na dada mmoja akaniambia ni mwalimu ile siku ya kwanza tu kukutanae...
poa nimekuelewa but wasiwasi wangu ni kuwa na family wakati aged so nivigumu kuwawapatia huduma muhimu cos nitakuwa nimeshachoka so ndio yale ya kutegemea ndugu unalionaje hilo?
hapana japokuwa swala la uzuri lipo lkn sio kwa sana but wana JF now day wanawake hawaeleweki so ni ngumu sana kumpata muelewa na wakati mwingene nafikiria nikichelewa sana sitakuja kuoa tena cos nitazoea na maisha ya ubachelor na hata family yangu nitaipa uzeeni ndio hizo habari za watoo kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.