Recent content by lukubuzo Samsis

  1. L

    Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

    bi.ushungi nchi imemshinda anauza kila kitu.kosa hapo lipo wapi?
  2. L

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Mungu/mungu hawi mdogo wala mkubwa kwaaajili ya herufi.
  3. L

    Jamaa aliyechoma Qur'ani Tukufu Salwan Momika, amekutwa amekufa nchini Norway

    sasa mbona habari yako umeiweka kiukuda as if kafa kwaajili ya kuchoma hiyo koran?
  4. L

    Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar

    Serikali ya Zanzibar bado imejificha. Haijasema vizuri. Polisi wamekamata watu waliokuwa wanakula mchana Zanzibar na wanasisitiza watawakamata wengine zaidi. Serikali haijaeleza kuhusu hilo. Serikali haijaeleza mtu ambaye hajafunga Zanzibar wakati Waislam wamefunga anakuwa anavunja sheria gani...
  5. L

    Mke wangu karudi kwenye dini yake

    Religion is the opium of the people.
  6. L

    Kadogosa: Asilimia 70 ya Ujenzi wa SGR umefanywa na awamu ya 6

    kadogosa hana akili kama aliyemtua.
  7. L

    Historia ya Ali Hassan Mwinyi kama Rais haiko wazi

    bila kuweka sakata la kuuza mbuga zetu za ngorongoro kwa warabu 1990s historia yako itakuwa dhaifu mno.
  8. L

    Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

    khalfan ni aka aliyopewa na juma nature hajawahi kuwa muislam,yeye mkristo na watoto wote wakristo.
  9. L

    Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

    we fala sikia wamekaa ndani masheikh ubwabwa miaka 10 wakina mselem na farid ulifanya nini? mpaka wengine wametoka amekatwa mguu....Samia ndo' kawahurumia toka kipindi cha Kikwete na mambo ya uamsho Zanzibar. Huwezi kuchafua amani ya nchi kwa mambo yenu ya kijinga.,nchi haiwezi chekea huo...
  10. L

    Azamu TV acheni udini kwenye channel zenu

    ile ni radio ya dini...Azam sio kituo cha kidini.Ingekuwa kituo cha kidini kama radio Iman,kheri nk usiongeona hiyo comment. Na hao huwa wanafanya hivyo punde tu Rais akiingia muislam.
  11. L

    Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

    ukiona popote mtu ameendika "harakati za dini"maana yake ni UGAIDI.Huyo ustadh aache ujinga kama anataka kupata mabikira 72 aende Gaza lakini sio kuwa brainwash vijana na itikadi kali za kiislam. Samia unawachekea sana hawa watu.Hawa watu wanaharibu nchi wanatakiwa wapumzishwe kama Rogo na...
  12. L

    Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

    wewe unafturu public,watu wakila unataka wajifiche.unaona watu ni wavaa kobazi? una akili wewe?
  13. L

    Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

    Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal. Huoni kuwa chuo cha Ardhi kinaingia kwenye kashfa nzito juu ya wahitimu wake, Taifa na Dunia kwa ujumla kuhusu wahitimu wanaozalishwa chuoni hapo? wewe unaona...
Back
Top Bottom