Serikali ya Zanzibar bado imejificha. Haijasema vizuri. Polisi wamekamata watu waliokuwa wanakula mchana Zanzibar na wanasisitiza watawakamata wengine zaidi. Serikali haijaeleza kuhusu hilo.
Serikali haijaeleza mtu ambaye hajafunga Zanzibar wakati Waislam wamefunga anakuwa anavunja sheria gani...
we fala sikia wamekaa ndani masheikh ubwabwa
miaka 10 wakina mselem na farid ulifanya nini? mpaka wengine wametoka amekatwa mguu....Samia ndo' kawahurumia toka kipindi cha Kikwete na mambo ya uamsho Zanzibar.
Huwezi kuchafua amani ya nchi kwa mambo yenu ya kijinga.,nchi haiwezi chekea huo...
ile ni radio ya dini...Azam sio kituo cha kidini.Ingekuwa kituo cha kidini kama radio Iman,kheri nk usiongeona hiyo comment.
Na hao huwa wanafanya hivyo punde tu Rais akiingia muislam.
ukiona popote mtu ameendika "harakati za dini"maana yake ni UGAIDI.Huyo ustadh aache ujinga kama anataka kupata mabikira 72 aende Gaza lakini sio kuwa brainwash vijana na itikadi kali za kiislam.
Samia unawachekea sana hawa watu.Hawa watu wanaharibu nchi wanatakiwa wapumzishwe kama Rogo na...
Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal.
Huoni kuwa chuo cha Ardhi kinaingia kwenye kashfa nzito juu ya wahitimu wake, Taifa na Dunia kwa ujumla kuhusu wahitimu wanaozalishwa chuoni hapo?
wewe unaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.