Recent content by Lukonge

  1. Lukonge

    Ni sahihi John Heche kumuacha Dereva wake kwenda kulala Chumba cha Sh. 3,000/=?

    Kwa hiyo madai ya J. Heche kuwa wa mwisho kuonekana na marehemu umeyaondoa. Sasa unatengeneza ya gesti ya 3,000/=!!?? Hivi kuna watanzania wangapi wanalala mazingira ya chini ya gesti ya 3,000/=!? Na ukizingatia wengine ni waajiriwa wa serikali, unataka kueleza nini hapo!? Tusipende kila...
  2. Lukonge

    Kifo cha Dereva wa John Heche Polisi wamepata pa kuanzia, waanze na John Heche kufanya uchunguzi

    Wewe umejuaje alikuwa wa mwisho? Huoni kama wewe unaethibitish hili ndo ulikuwa shuhuda wa mwisho?
  3. Lukonge

    TMDA yapiga marufuku dawa yenye kiambata cha levamisole

    Pamoja na kwamba sijaiona taarifa husika kwenye site ya TMDA, hili ni jambo la kawaida kwenye suala la Uvumbuzi na Uendelezaji wa dawa, vifaatiba na viambata duniani kote. Dawa inapokidhi vigezo na taratibu za kutumika kwa binadamu, huruhusiwa kwa kuendelea kufanyiwa kitu kinaitwa Post Market...
  4. Lukonge

    Naomba ushauri kuhusu tatizo la Mke wangu la mfumo wa Mkojo lililodumu Miezi 7

    Pole kwa kuuguliwa. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuleta tatizo hili kutokuisha: usugu wa dawa, mdudu kujichimbia kwenye ukuta wa kibofu, tatizo la misuli ya kibofu, mabadiliko ya homoni, tatizo la misuli ya sakafu ya nyonga na tatizo la mwingiliano wa matatizo ya njia ya uzazi. Hivyo, tatizo...
  5. Lukonge

    Watoto wote wanne (4) siyo wa kwangu, wanawake mna roho ngumu

    Kuwa makini na ulichokitafuta: DNA haipimwi kirahisi/kwa utaratibu unaojulikana na kwa kipindi kifupi/ndani ya muda mfupi hivyo. Ulipeleka stori na umepewa majibu kulingana na stori yako. Ingia kwenye tovuti ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali uuone utaratibu. Usijekuwa umepimwa blood grupu...
  6. Lukonge

    Muungano wetu na methali ya mchelea mwana kulia, hulia mwenyewe

    Uhusiano wa kweli "usio na hoja kati ya wanaohusiana" ni kama hadithi tu au haupo na haujawahi kuwepo na hautakaa uwepo. Hii ni kwa sababu hakuna watu wawili wanaofikiri, kuhisi au kuitikia sawasawa. Tofauti au kutoelewana ni jambo lisiloepukika kwa watu wawili. Je kwa muungano wa nchi...
  7. Lukonge

    The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu?

    Paskali, Tatizo unataka kuwa potepote, mwisho wake unaandika na kujikanganya mwenyewe. Ukitaka kuelewa haya mambo, soma post namba sita (6). Kufahamu uhusika wa mhusika kwenye tukio, ni muhimu kutizama matendo yake: 1: Kabla ya tukio 2: Wakati wa tukio 3: Baada ya tukio Wewe ni mwanasheria...
  8. Lukonge

    Uchawa ni mfumo, bila Katiba mpya hauwezi kuisha

    Daktari! Hongera kwa andiko. Binafsi nakubaliana nawe, lakini nina angalizo juu ya hili au mtizamo wa nyongeza. Katiba peke yake si suluhisho la kutoka hapa tulipo. Hapa tulipo tatizo bado si katiba peke yake bali tumekengeuka tangu kwenye malezi kuanzia ngazi ya jamii/familia. Naamini...
  9. Lukonge

    PostGE2025 Kwa hapa tulipofika; Ya Oktoba 29 tungeyaacha, tuendelee na mambo mengine

    Daktari, Mambo haya huwa hayajifii/hayamalizwi kwa kusema tuyaache. Sayansi ya jamii inasema hatua muhimu kwenye kujenga mahusianao mema/reconcilliation: 1: Aliyekosa/akubali kutenda makosa kama yapo. 2: Onyesha kujutia kwa kilichotokea/kubali kubeba lawama na thamani ya tatizo husika. 3...
  10. Lukonge

    Hizi ni dawa hatari kwa figo zako

    Jambo moja mhimu la kufahamu, dawa yoyote ni SUMU inaweza kuleta madhara ndani ya viungo vya mwili. Kinachotofautisha hapo ni kuzingatia kiasi gani cha dawa unatakiwa kuchukua, kila baada ya muda gani na kwa urefu wa kipindi gani. Tusipofuata utaratibu hata maji ni sumu, Panadol ni sumu nk.
  11. Lukonge

    Naomba msaada wa afya naombeni msaada

    Pole kwa kuumwa. Mambo mhimu ya kuelewa na kuzingatia: 1: Rufaa au kuomba rufaa ni moja katika haki za msingi pale unapokuwa na sababu ya/za mhimu. 2: Kabla ya kuomba rufaa jitahidi kuwasiliana na mtoa huduma wako ili kujua tatizo lako la msingi, matarajio ya daktari kulingana na unavyoumwa na...
  12. Lukonge

    Maziwa ya mama kukata ghafla

    Stress homoni kama Cortisol husababisha mrejesho hasi/negative feedback kwa homoni zinazohusika na kuzalisha maziwa kama Prolactin na hivyo kuathiri kwa kikubwa kiasi cha maziwa yanayozalishwa.
  13. Lukonge

    Wafanyabiashara takribani 90% wana maisha magumu. Kijana usidanganyike na mafanikio ya wachache, Business is not for everyone!

    Wasilisho zuri 1: Unaonyesha kuwa na mawazo au uzoefu mzuri na kwa nia njema unashirikisha ili kuonyesha hali halisi ilivyo. Ingawa kunahitajika kuwa na data au rejea ya tafiti au andiko linalotambulika ili kuyapa uzito halisi mawazo haya kwa upande husika. 2: Kufanikiwa/kuvipita vihunzi hivi...
  14. Lukonge

    Kwanini siponi amoeba

    Pole kwa kuumwa. Kuna vitu vya kuzingatia: 1: Historia ya kuumwa kwako haijasadifu sana mgonjwa wa Amoeba kama ni kutibiwa kwa eneo ambalo mtaalamu wa afya hawezi kupata vipimo/symptomatic treatment. Mgonjwa wa amoeba hupata maumivu makali ya tumbo ya kukamua/kubana/cramping. Kwa siku za...
  15. Lukonge

    Chronic headache

    Haya ni.maelezo ya jinsi ya kutafuta suluhu ya maumivu husika, kwa mtu ambae maumivu ni makali kwa wakati husika: 1: Kuna vitengo vya dharula kama hauko vyema. 2: Pia, Nurse anaempokea mgonjwa kwenye maeneo ya OPD/wagonjw wa nje hutoa taarifa kwa daktari kulingana na hali ya mgonjwa ili kupewa...
Back
Top Bottom