Recent content by Lukonge

  1. Lukonge

    Vifaa vya umeme na electronic vya hospitali vinafanyiwa maintanance na repair wapi?

    Inategemea na mambo yafuatayo: A: Kama ni kifaa kipya chenye guarantee, na muda haujaisha basi ni jukumu la aliyekuuzia/agent au mtengenezaji wa kifaa husika. B: Kama muda wa guarantee umeisha Vituo vya afya vyenye uwezo huwa na kitengo cha Maintaince na Biomedical, ambapo matatizo yote...
  2. Lukonge

    Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

    Kwa vyovyote ilivyo, kutokutumia kitu vyema/ kwa kadri ya utaratibu si sawa. Hali halisi inajulikana, ni vyema kujifunza kitu muhimu na kuchukua hatua hapa: 👇...
  3. Lukonge

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Pole sana, Jambo muhimu ni wewe kujipima na kuona ni lipi lina nafuu kwa maisha yako/afya yako ya kiroho na mwili pia ustawi wa familia: 1: Kumpa muda na umrejee baada ya yeye kuwa muwazi zaidi ya nini kilitokea (mkae na kuongea ukweli wake usibaki na kudhani). 2: Umwache mkeo kwa kudhani...
  4. Lukonge

    Msaada maumivu tumboni na pande zote kulia na kushoto kupelekea ganzi mikononi na miguuni

    Habari, Pole na kuumwa. Inahitaji uchukuaji mzuri wa historia yako. Kufanya examination/ uangaliaji wa mwili ili kuja na wazo la nini linasumbua. Kwa kifupi wazo linalikuja ni: 1: Shida kwenye njia ya chakula/gastritis/ H. Pylori 2: Shida inayohusisha viungo vya mwili kama ini. NB: Fika kito...
  5. Lukonge

    Nikiwa nimelala nikisimama nasikia maumivu makali upande wa shingo kulia kwenda kwenye bega. Na kugeuza shingo inakua inauma

    Maelezo hayajatosheleza sana, pia ukaguzi wa mwili hasa sehemu husika ni muhimu. Kuna haja ya kujua kama: kuna ganzi, kusikia kama shoti ya umeme, nguvu ya umezo wa kung'ata. Ingawa maeneo muhimu yaliyohitaji kufatiliwa: 1: Sikio lenyewe(kama kuna madhira yoyote) 2: Trigerminal nerve(mshipa wa...
  6. Lukonge

    Mwanangu amepata kigugumizi cha ghafla, msaada kama naweza kupata tiba

    Habari, Mtoto anaendeleaje? Kuna mazingira yanayoweza kusababisha kuanza kwa kigugumizi hata kama hakuna shida ya kiafya (organic(misuli na mishipa ya fahamu vs genetic). Mfano: 1: Stress: kama mazingira ya mtoto yamebadilika kama kwenfa shule, ambayo kwake inaweza kuwa si ya mazingira mazuri au...
  7. Lukonge

    Natafuta Daktari wa tatizo la Kucha kuingia kwenye vidole vya Miguu

    Habari, Pole na madhira. Kwa hapo ilipo ni ngumu kuinyanyua. Labda afanyiwe kupunguzwa/kutoa hiyo iliyozama tayari bande zote mbili au atoe wote ndo atanyanyua wakati unaota ili ukucha upite juu. Pia, kutokutumia viatu vinavyobana. Daktari wa kawaida au wa upasuaji anaweza kufanya hii kazi.
  8. Lukonge

    Onyo: Usinunue Heligo Kit bila ushauri wa Daktari

    Kama ni GERD, tiba yako ya msingi si Heligo Kit. Haitakuwa na msaada wowote kwako. Heligo kit inatumika kama una H. Pylori kama kisababishi cha Gastritis au Peptic ulcer/ vidonda vya tumbo. Hakiki tatizo lako la msingi, kuna magonjwa huja na dalili za kufanana au yanakuwepo kwa pamoja. Tambua...
  9. Lukonge

    Onyo: Usinunue Heligo Kit bila ushauri wa Daktari

    Kwa Pharmacy wanao uwezo wa kuelewa na kutoa dawa, ingawa hizi ni dawa zinazotolewa kwa kufuata mwongozo wa cheti cha daktari. Kitu cha msingi kabla ya kwenda duka la dawa: 1: Je una gastritis au vidonda vya tumbo? 2: Je H. Pylori amethibitishwa kuwa moja ya chanzo cha tatizo...
  10. Lukonge

    Msaada wenu tafadhari juu ya afya ya mwanangu

    Pole kwa kuuguliwa: 1: Hapo unahitaji utaalamu wa watu wawili: Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto pamoja na upasuaji. A: Kuangalia kama uvimbe umeathiri kwa kiasi gani mfumo wa upitishaji damu kwenda kwenye vidole.(athari ya presha ya uvimbe) B: Hali ya vidole kwa sasa kama inaruhusu kutibia...
  11. Lukonge

    Hivi dalili za uchungu kwa mke zinaweza kumhusisha na Mume?

    Hali hii ipo huitwa Cauvade Syndrome. Mwanaume kuweza kupata dalili zimhusuzo mwanamke mjamzito kutokana na ujauzito wa mkewe. Psychosomatic symptoms of the Couvade syndrome in Finnish and Polish expectant fathers - PubMed
  12. Lukonge

    Nimegugo dalili zote UKIMWI, ninazo

    NEVER GOOGLE YOUR SYMPTOMS https://www.youtube.com/watch?v=Vn_ZkI7-IZ4&pp=ygUabmV2ZXIgZ29vZ2xlIHlvdXIgc3ltcHRvbXM=
  13. Lukonge

    Ni sahihi kunywa dawa na maziwa mgando (mtindi)?

    Kuna maswali mawili ndani ya swali moja: 1: Kunywa dawa na baadaye kunywa maziwa. 2: Kunywa dawa kwa kutumia maziwa. Jibu ni: Inategemea aina ya dawa: 1: Kuna dawa kulingana na zilivyotengezwa na vilivyomo, zinayeyuka vyema kwenye maziwa. Hivyo, hurahisisha dawa kufyonzwa na kuingia mwili. 2...
Back
Top Bottom