Kwa hiyo madai ya J. Heche kuwa wa mwisho kuonekana na marehemu umeyaondoa.
Sasa unatengeneza ya gesti ya 3,000/=!!??
Hivi kuna watanzania wangapi wanalala mazingira ya chini ya gesti ya 3,000/=!?
Na ukizingatia wengine ni waajiriwa wa serikali, unataka kueleza nini hapo!?
Tusipende kila...
Pamoja na kwamba sijaiona taarifa husika kwenye site ya TMDA, hili ni jambo la kawaida kwenye suala la Uvumbuzi na Uendelezaji wa dawa, vifaatiba na viambata duniani kote.
Dawa inapokidhi vigezo na taratibu za kutumika kwa binadamu, huruhusiwa kwa kuendelea kufanyiwa kitu kinaitwa Post Market...
Pole kwa kuuguliwa.
Kuna sababu nyingi zinazoweza kuleta tatizo hili kutokuisha: usugu wa dawa, mdudu kujichimbia kwenye ukuta wa kibofu, tatizo la misuli ya kibofu, mabadiliko ya homoni, tatizo la misuli ya sakafu ya nyonga na tatizo la mwingiliano wa matatizo ya njia ya uzazi.
Hivyo, tatizo...
Kuwa makini na ulichokitafuta:
DNA haipimwi kirahisi/kwa utaratibu unaojulikana na kwa kipindi kifupi/ndani ya muda mfupi hivyo.
Ulipeleka stori na umepewa majibu kulingana na stori yako. Ingia kwenye tovuti ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali uuone utaratibu. Usijekuwa umepimwa blood grupu...
Uhusiano wa kweli "usio na hoja kati ya wanaohusiana" ni kama hadithi tu au haupo na haujawahi kuwepo na hautakaa uwepo.
Hii ni kwa sababu hakuna watu wawili wanaofikiri, kuhisi au kuitikia sawasawa. Tofauti au kutoelewana ni jambo lisiloepukika kwa watu wawili. Je kwa muungano wa nchi...
Paskali,
Tatizo unataka kuwa potepote, mwisho wake unaandika na kujikanganya mwenyewe.
Ukitaka kuelewa haya mambo, soma post namba sita (6). Kufahamu uhusika wa mhusika kwenye tukio, ni muhimu kutizama matendo yake:
1: Kabla ya tukio
2: Wakati wa tukio
3: Baada ya tukio
Wewe ni mwanasheria...
Daktari!
Hongera kwa andiko.
Binafsi nakubaliana nawe, lakini nina angalizo juu ya hili au mtizamo wa nyongeza.
Katiba peke yake si suluhisho la kutoka hapa tulipo. Hapa tulipo tatizo bado si katiba peke yake bali tumekengeuka tangu kwenye malezi kuanzia ngazi ya jamii/familia.
Naamini...
Daktari,
Mambo haya huwa hayajifii/hayamalizwi kwa kusema tuyaache. Sayansi ya jamii inasema hatua muhimu kwenye kujenga mahusianao mema/reconcilliation:
1: Aliyekosa/akubali kutenda makosa kama yapo.
2: Onyesha kujutia kwa kilichotokea/kubali kubeba lawama na thamani ya tatizo husika.
3...
Jambo moja mhimu la kufahamu, dawa yoyote ni SUMU inaweza kuleta madhara ndani ya viungo vya mwili. Kinachotofautisha hapo ni kuzingatia kiasi gani cha dawa unatakiwa kuchukua, kila baada ya muda gani na kwa urefu wa kipindi gani.
Tusipofuata utaratibu hata maji ni sumu, Panadol ni sumu nk.
Pole kwa kuumwa.
Mambo mhimu ya kuelewa na kuzingatia:
1: Rufaa au kuomba rufaa ni moja katika haki za msingi pale unapokuwa na sababu ya/za mhimu.
2: Kabla ya kuomba rufaa jitahidi kuwasiliana na mtoa huduma wako ili kujua tatizo lako la msingi, matarajio ya daktari kulingana na unavyoumwa na...
Stress homoni kama Cortisol husababisha mrejesho hasi/negative feedback kwa homoni zinazohusika na kuzalisha maziwa kama Prolactin na hivyo kuathiri kwa kikubwa kiasi cha maziwa yanayozalishwa.
Wasilisho zuri
1: Unaonyesha kuwa na mawazo au uzoefu mzuri na kwa nia njema unashirikisha ili kuonyesha hali halisi ilivyo. Ingawa kunahitajika kuwa na data au rejea ya tafiti au andiko linalotambulika ili kuyapa uzito halisi mawazo haya kwa upande husika.
2: Kufanikiwa/kuvipita vihunzi hivi...
Pole kwa kuumwa.
Kuna vitu vya kuzingatia:
1: Historia ya kuumwa kwako haijasadifu sana mgonjwa wa Amoeba kama ni kutibiwa kwa eneo ambalo mtaalamu wa afya hawezi kupata vipimo/symptomatic treatment.
Mgonjwa wa amoeba hupata maumivu makali ya tumbo ya kukamua/kubana/cramping. Kwa siku za...
Haya ni.maelezo ya jinsi ya kutafuta suluhu ya maumivu husika, kwa mtu ambae maumivu ni makali kwa wakati husika:
1: Kuna vitengo vya dharula kama hauko vyema.
2: Pia, Nurse anaempokea mgonjwa kwenye maeneo ya OPD/wagonjw wa nje hutoa taarifa kwa daktari kulingana na hali ya mgonjwa ili kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.