Recent content by Lukonge

  1. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Je, mhitimu wa Diploma ya Clinical Medicine kusoma Bachelor of Procurement and supply chain management (Mzumbe) ina tija kwenye soko la ajira?

    Moja ya matatizo tunayokuwanayo ni kuichukua elimu kama siraha ya kusaka ajira tu. Lengo la elimu ni kupata uelewa wa kuja kuyasimamia mazingira yanayokuzunguka kwa kuitumia elimu husika na kwa wakati huo kutatua mahitaji ya maisha. Kumbuka ninazungumzia elimu na si vyeti, hapa atapanua uanda wa...
  2. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuwa kupitia TAJIRI kupitia kuajiriwa basi usisome kozi ya UDAKTARI

    Moja ya kitu cha kukiainisha ni kuwa neno UTAJIRI ni subjective/hakuna kipimo cha moja kwa moja cha kusema hapa imeufikia utajiri. Kwa maneno ya jumla: Utajiri ni wingi wa mali, rasilimali, fedha, au vyanzo vya mapato ambavyo mtu, jamii, au nchi vinamiliki na kuzidi mahitaji ya kawaida ya...
  3. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Mkataba umeisha tarehe 31 Agosti. Leo tarehe 8 Septemba napigiwa simu na mwajiri kua haongezi tena. Wanasheria tafadhali

    Kisheria: Siku ya mwisho ya mkataba inapofika, pande zote mbili yaani mwajiri na mfanyakazi zinakuwa huru. Mfanyakazi halazimiki kwenda kazini. Tuzingatie HALAZIMIKI, maana kuna hiari hapo kama hakuna maelezo tofauti ya kikazi.
  4. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Mkataba umeisha tarehe 31 Agosti. Leo tarehe 8 Septemba napigiwa simu na mwajiri kua haongezi tena. Wanasheria tafadhali

    Mtoa mada zingatia hapa, chochote kiendacho kinyume na sheria ya ajira na mahusiano mahala pa kazi ni batili. 1: Je mkataba wako haukuwa na kipengele cha kuongezwa kwa kuzingatia vigezo vya mwajiri? 2: Kitendo cha wewe kufika kazini na kutimiza majukumu kwa wiki nzima ndani ya ofisi baada ya...
  5. Lukonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kihongosi: Damu ya Watanzania haipo mikononi mwetu CCM, chama hakikuchukua silaha kumdhuru yeyote, Oktoba 29, 2025

    Unawajibika kwa: 1: Kutenda kosa moja kwa moja. 2: Kushindwa kutimiza wajibu wako wa msingi ili kuzuia kosa lisitokee.
  6. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mtu mmoja anakula sana lakini hana kitambi, mwingine anakula kidogo na ananenepa?

    Msingi mkuu uko kwenye: 1: Kiasi cha chakula chenye kubeba nguvu/wanga dhidi ya uwezo wa mwili kutumia guvu husika. Unene ni matokeo ya kula vyakula vya wanga bila kuwa na matumizi makubwa ya nguvu hizo kwenye mwili husika. Hivyo, mwili kutokuwa na jinsi ya kuzitupa nguvu hizo (Energy can...
  7. Lukonge

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Sayansi ya Uchumi inataka 60% ya mapato itumike kwaajili ya maendeleo ya Watu na 40% inasalia itumike kwaajili ya maendeleo ya Vitu

    Anazunguka kiini cha tatizo, hata ukiwekeza inavyotakiwa kwa matumizi ya serikali hii ni sawa na kumwaga ndoo ya maji baridi baharini. Jibu mhimu ni punguza matumizi ya serikali yasiyo ya mhimu na lazima. Serikali ijikite kutengeneza sera za matumizi kulingana na uwezo wake na wananchi...
  8. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Ramani Mpya ya Afrika

    Suala ni kuwa na ramani ya dunia ambayo ina ukubwa halisi wa bara la Afrika na nyingine pia. Ramani inayotumika kwa sasa ilitengenezwa karne ya 16, inaonyesha nchi zilizo karibu na Ikweta kuwa na ukubwa mdogo wakati zile zilizoko kwenye ncha ya kaskazini na kuzini zikionekana kubwa zaidi, Mfano...
  9. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Mzee Paskali! Kuna vitu kutoka sauti yako ya ndani vinanichanganya: The Chrological of Events Baada ya kuandika barua ile ya kustaafu siku ya Jumanne, ambapo barua hiyo haikua ombi la kustaafu, ilikuwa ni taarifa ya uamuzi wa kustaafu kwenda kwa mamlaka yake ya ajira, Ikulu ikatoa taarifa kuwa...
  10. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia ukijinadi wewe sio muoga uhalisia wake wewe ni muoga

    Acha mambo ya elimu mbalimbali, kwa nini uchomoe kakipengele ndo ulete hapa? Kama ni mwanasaikoljia, fanya muunganiko wa hali halisi ya mtu: maneno, matendo, tabia na hali aliyopo ili ufanye majumuisho na si kukariri kimoja tu. Tujifunze: Hivi ndivyo wanasaikolojia wanavyoangalia tamko la mtu...
  11. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Nassoro Katuga: Waheshimiwa, basi tuendelee, lakini Mahakama ikiona wanazidi, tuna haki ya kusimama tena. Ametambua kilichomfanya anyanyuke, hakin maana mbele ya mahakama, anaamua kukaa kinyonge.
  12. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Wamelikoroga na wanae upande wao kwa sasa/kimantiki, inabidi nyoka avuliwe gamba kwanza na apondwe kichwa. Kwa mantiki yao kikulacho kinguoni mwako Gaidi & Mhaini.
  13. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Fanya tathmini ya nguvu inayotumika kwenye chaguzi kila baada ya uchaguzi mmoja kwenda mwingine. Zingatia mabadiliko ya kizazi na nguvu ya ushawishi ya chama tawala. Jumlisha yanayoendelea, je nanianasaidika na nani anazidi kuzama. Mabadiliko ni process si nukta. Mwangalie punda anapokufa...
  14. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Leo Mahakamani 03 September, Shahidi wa tatu Aman Sam Golugwa anaendelea kutoa ushahidi wake

    Wao ndo wameuchagua aina ya mchezo, uwanja wa mechi na kufungua mageti, acha waicheze ngoma. Hii inafanya hata watu waliokuwa wanashangaa kwa nini Mh. Tundu Lisu ang'ang'anie kuishinikiza serikali ifanye mabadiliko ya kisheria juu ya uchaguzi wawe na uelewa wa msingi mkuu. Hapa hata ambaye...
  15. Lukonge

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaonekana kufikia hatua ya kukata tamaa na kujiua? jamii imeshindwa kuona ishara?

    Mwenendo wa afya ya akili kwa wanajamii wakati huu. Hili ni somo pana sana na ili kuweza kufahamu ni kwa jinsi gani au nini kifanyike katika kuhakikisha afya ya akili ya kila mwanajamii inakuwa salama. Ni vyema kufahamu ni wapi tumejikwaa ili kuparekebisha. Ili jamii na wanajamii kuwa na afya...
Back
Top Bottom