Recent content by Lukona

  1. L

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

    Mimi naona bado ina nafasi kubwa na tunaihitaji na lengo kubwa la adhabu hii ni kuwatisha walio baki na hata ukisema wafanye kazi za kuzalisha haitasaidia sana kwani lengo la adhabu ni kuogopesha,kufanya mtenda kosa ajutie yale aliyofanya,asikie maumivu sawa na kosa alilofanya na pia kutoa...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Should abortion be legal or illegal in Tanzania?

    Abortion sio halali tangu zamani na tusije tukaihalalisha acha wafanye kisiri lakini ukiwatangazia itakuwa hatari. Isihalalishwe ifanyike tu kama kuna hatari kwa mzazi isiwe mtu kaipata hajisikii kuwa na mtoto basi atoe, na kesi zake hazisikiki kwa kuwa zinafanyika kwa siri na njaa za madaktari...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Tatizo raia tunaweka chuki na uadui kwa vyombo hivi na hpo ndipo utata unatokea kupata elimu kama hii sio kubishana nao kuna askari wengine hawazijui hizi sheria
  4. L

    JamiiForums Tanzania The most powerful person in this country

    hakuna mtu mwenye nguvu bali kuna kitu chenye nguvu nacho ni HELA tu.... nchi hii hata ufanye nini ukiwa na hela zitaundwa tume za uongo mwisho wa siku linapotelea hewani. we hushangai kwa nini hata wananchi wanaangalia anaye wapa chochote ndo wana mchagua....maskini akipita basi nyuma yake kuna...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu serikali inampango gani nao? na usiwe mpango wa maneno utekelezwe mara moja kwani wapo wenye vipaji vya hali ya juu kwa nini mbunge usijisikie vibaya kupata milo mitatu kwa siku wakati mtanzania mwenzako hata pa kunywa maji hana kwa kweli ni kero kubwa...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Arumeru (CHADEMA)

    ni kweli star tv wametangaza asubuhi wataonyesha uzinduzi wa chadema live
Back
Top Bottom