Recent content by Luhangija

  1. L

    Hakuna nchi ya ajabu kama tz...,

    Ungekuwa na busara usingejibu kwn jamaa kakudhihirishia usivyo na upeo wa kufikiria,
  2. L

    Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Mwenge-Moshi wamesimamishwa Masomo kwa sababu za kiimani!

    Hilo ndio swali la msingi,wakijibu tu hilo waache kulalamika
  3. L

    Sitaki tena kuendelea kuwa Mtanzania.

    Ahame kutoka wapi sasa! Kwani tuna nchi? Ukiulizwa unatoka nchi gani utasema wapi? Tanzania sio nchi,ni serikali ya muungano,wazanzibar wana nchi yao,wabara vp?
  4. L

    Sitaki tena kuendelea kuwa Mtanzania.

    Wewe kama mfugaji,kuku wako wakipiga kelele usiku kuna jambo,lazima utoke nje uone kuna nini. Kelele za muungano ni dhahiri watz tumechoka na kitu hiki,bora tuwe na serikali tatu ikiwemo serikali yangu ya TANGANYIKA. Sijawahi kuwa mtanganyika tangu nizaliwe wakati naishi TANGANYIKA,Mbona USA...
  5. L

    Bar ya Highland Tabata Baracuda inateketea kwa Moto mda huu

    Pombe ina ubaya gn? unywaji kupita kiasi ndo mbaya! Hulazimishwi kunywa kupita kiasi,acha mwny bar aongeze kipato,afterall bar hawauzi pombe tu,kuna juice,nyama,soda etc,use ur brain to judge things
  6. L

    Bar ya Highland Tabata Baracuda inateketea kwa Moto mda huu

    Huna akili vzr,nenda milembe kapimwe!
  7. L

    Tazama Video ya unyama wa Madereva boda boda!!......Angalizo video hii inatisha

    Dhis kantiri bhwana! Watasema hajakamatwa hata mmoja wakati ushahd unaonekana! Tumrudie muumba wetu
  8. L

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Ya pinda imetisha mkuu!
  9. L

    Nahitaji kufahamu

    Haina mbaya mkuu,mwombe tu
  10. L

    Ephraim Kibonde;kuwaponda bank tellers kuwa ni wezi

    Kweli mkuu,kibonde anabwata sana na asiyoyajua,kuanza kutangaza clouds anajiona anajua kila kitu,atulie,wivu mbaya
  11. L

    Ikulu ya Tanzania ihamishiwe USA mpaka 2015 kuokoa gharama

    Mkuu kwani tuna rais au makamu wa rais? Lazima makamu amfuate mkubwa wake akapokee order!
  12. L

    Ikulu ya Tanzania ihamishiwe USA mpaka 2015 kuokoa gharama

    Wewe ndo unayefikiria kivivu,hilo nalo linakutaka uwe na elimu gani kulitambua? Huoni kauli zake nyng anazitoa akiwa u.s.a.?
Back
Top Bottom