Ahame kutoka wapi sasa! Kwani tuna nchi? Ukiulizwa unatoka nchi gani utasema wapi? Tanzania sio nchi,ni serikali ya muungano,wazanzibar wana nchi yao,wabara vp?
Wewe kama mfugaji,kuku wako wakipiga kelele usiku kuna jambo,lazima utoke nje uone kuna nini. Kelele za muungano ni dhahiri watz tumechoka na kitu hiki,bora tuwe na serikali tatu ikiwemo serikali yangu ya TANGANYIKA.
Sijawahi kuwa mtanganyika tangu nizaliwe wakati naishi TANGANYIKA,Mbona USA...
Pombe ina ubaya gn? unywaji kupita kiasi ndo mbaya! Hulazimishwi kunywa kupita kiasi,acha mwny bar aongeze kipato,afterall bar hawauzi pombe tu,kuna juice,nyama,soda etc,use ur brain to judge things
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.