Recent content by Luhamba II

  1. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji Taarifa Hizi Wakati wa kuomba leseni ya biashara

    Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi. 1. TIN Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi 2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako. 3. Certificate of...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Haya ni mambo matatu yatakayo tokea kama ukishindwa ku file beneficial ownership

    Habari mjasiriamali, Jana nilipost kuhusu beneficial ownership, nikasema kila mmiliki wa Kampuni ni lazima awasilishe taarifa za wanufaika wa Kampuni (Beneficial owners) ndani ya siku 30 baada ya kukamilisha usajili wa Kampuni. Moja ya swali nililoulizwa ni "Kwani nisipo file hio beneficial...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Mambo Matatu Kuhusu Kampuni I Wish Ningeyajua Mapema

    Habari mjasiriamali, kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unatarajia kufungua Kampuni haya ni mambo Matatu ambayo natamani uyajue mapema kuhusu Kampuni 1/3 Ni lazima ku file beneficial ownership ndani ya siku 30. Beneficial owners ni watu wote ambao ni wanufaika wa Kampuni hata kama sio direct...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Kama Umechelewa Ku file Annual Returns

    Habari mjasiriamali, Siku mbili zilizopita niliandika thread kuhusu documents zinazohitajika wakati wa Ku file annual returns, nikapata maswali kutoka kwa watu kadhaa "habari siku file annual returns mwaka uliopita nifanyaje" Fuata hatua hizi kama huku file annual returns; 1. Andaa...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Documents Tatu unazo hitaji Wakati wa Ku file annual returns

    Habari mjasiriamali, Kama wewe ni mmiliki wa Kampuni nikukumbushe kua kila mwaka unatakiwa ku file annual returns. Sasa hizi ni Documents Tatu unazohitaji kuwa nazo wakati wa ku file annual returns; 1. Form no. 128 Hii fomu inabeba taarifa zifuatazo Wamiliki wa Kampuni ambao ni shareholders...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Kubadili Tin binafsi kuwa Business TIN

    Mkuu kwema? Pole kwa late reply, tembelea ofisi za TRA zozote watakusaidia kubadili namba.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Kubadili Tin binafsi kuwa Business TIN

    Ipo, tembelea tawi la TRA la karibu
  8. L

    JamiiForums Tanzania Fanya Hivi Kubadili Tin binafsi kuwa Business TIN

    Habari mjasiriamali, Last week nimepata watu watatu walioniuliza swali Moja, "nawezaje kubadili TIN yangu iwe TIN ya biashara?" For collective good nimeona nikuandikie hapa na wewe. Kuna hatua kadhaa za kufuata wakati wa kubadili non business TIN kuwa Business TIN. Hatua hizo ni hizi; 1/10...
  9. L

    JamiiForums Tanzania TRA imeanzisha Mfumo Mpya Unaitwa IDRAS

    Halmashauri wamefanya kwa upande wa leseni, Bado kwa upande wa tozo
  10. L

    JamiiForums Tanzania TRA imeanzisha Mfumo Mpya Unaitwa IDRAS

    Kwa Sasa upo hewani tayari.
  11. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kufanya Malipo BRELA

    Habari mjasiriamali, Nimepata casesara 3 watu wanalipia applications zao Brela halafu wakirudi kwenye system inaonekana application haijalipiwa. Leo nimekuandalia njia nne za kufanya malipo Brela kwa usahihi 1. Lipia kwa simu Mtandao wowote unaotumia chagua malipo ya serikali na uingize...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Taarifa Tisa (9) Unazoweza Kuzifanyia Marekebisho Kwenye Kampuni Yako

    Habari mjasiriamali, Kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unategemea kuanzisha Kampuni siku za usoni hapa nimekuandalia list ya taarifa 9 Unazoweza kuzibadilisha baada ya Kusajili Kampuni yako. 1. Mtaji wa Kampuni Mfano ulisajili Kampuni ukaweka share capital 10M badae mtaji ukakua unaweza ku...
Back
Top Bottom