Habari mjasiriamali kama wewe umesajiki biashara au Kampuni Brela unahitaji Taarifa Hizi kuomba leseni halmashauri/tausi.
1. TIN
Unahitaji TIN number ambayo utaitumia kufungulia akaunti tausi
2. Mkataba wa upangishaji, unaweza kuwa wa ofisi au wa nyumbani kwako.
3. Certificate of...
Habari mjasiriamali,
Jana nilipost kuhusu beneficial ownership, nikasema kila mmiliki wa Kampuni ni lazima awasilishe taarifa za wanufaika wa Kampuni (Beneficial owners) ndani ya siku 30 baada ya kukamilisha usajili wa Kampuni.
Moja ya swali nililoulizwa ni
"Kwani nisipo file hio beneficial...
Habari mjasiriamali, kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unatarajia kufungua Kampuni haya ni mambo Matatu ambayo natamani uyajue mapema kuhusu Kampuni
1/3 Ni lazima ku file beneficial ownership ndani ya siku 30.
Beneficial owners ni watu wote ambao ni wanufaika wa Kampuni hata kama sio direct...
Habari mjasiriamali,
Siku mbili zilizopita niliandika thread kuhusu documents zinazohitajika wakati wa Ku file annual returns, nikapata maswali kutoka kwa watu kadhaa "habari siku file annual returns mwaka uliopita nifanyaje"
Fuata hatua hizi kama huku file annual returns;
1. Andaa...
Habari mjasiriamali,
Kama wewe ni mmiliki wa Kampuni nikukumbushe kua kila mwaka unatakiwa ku file annual returns.
Sasa hizi ni Documents Tatu unazohitaji kuwa nazo wakati wa ku file annual returns;
1. Form no. 128
Hii fomu inabeba taarifa zifuatazo
Wamiliki wa Kampuni ambao ni shareholders...
Habari mjasiriamali,
Last week nimepata watu watatu walioniuliza swali Moja, "nawezaje kubadili TIN yangu iwe TIN ya biashara?"
For collective good nimeona nikuandikie hapa na wewe.
Kuna hatua kadhaa za kufuata wakati wa kubadili non business TIN kuwa Business TIN.
Hatua hizo ni hizi;
1/10...
Habari mjasiriamali,
Nimepata casesara 3 watu wanalipia applications zao Brela halafu wakirudi kwenye system inaonekana application haijalipiwa.
Leo nimekuandalia njia nne za kufanya malipo Brela kwa usahihi
1. Lipia kwa simu
Mtandao wowote unaotumia chagua malipo ya serikali na uingize...
Habari mjasiriamali,
Kama wewe ni mmiliki wa Kampuni au unategemea kuanzisha Kampuni siku za usoni hapa nimekuandalia list ya taarifa 9 Unazoweza kuzibadilisha baada ya Kusajili Kampuni yako.
1. Mtaji wa Kampuni
Mfano ulisajili Kampuni ukaweka share capital 10M badae mtaji ukakua unaweza ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.