sasa hela hamjaleta afu mnapiga mabomu watu na kuwapeleka lock up.Mnatumia hela kujaza mafuta kwenye defender na kujaza mabom risasi na maji ya kuwasha zote hela hizo ila hela za mambo ya msingi hakuna!!!
AU mtasema CHADEMA wanahusika na huu mgomo??? yaani inakera....Na nyie wabunge mmekaa...
yaani hii nchi wenye matukio ndo wanautaka urais.Mwingine nae katuletea MB 8 afu kajiona creative kichizi na cybercrime law afu anajiona anafaa kuwa rais. HOPELESS SYSTEM and hopeless country
Halafu huyo Naibu waziri wa fedha ndo anautaka urais wakati juzi kadanganya kuomba msamaha hela zishafika!!!Hili limemshinda ndo ataiweza nchi??PM katuma RC na N/W wa afya hawajatoa ufafanuzi wowote wa kueleweka afu yuko kimya watu wamepigwa mabomu.nae anautaka urais!!!
njia nzuri ya kunyamazisha upinzani ni kutoa hoja zenye mashiko na sio vijembe na matusi kama wanavyofanya chama tawala,kwani wanawapa umaarufu hao kina lissu.Kama vipi chama tawala kingezuia baadhi ya memba kuongea coz wanaleta confusion badala ya kujenga hoja thus wanashusha hadhi ya...
naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa mnyika na mdee kurudi bungeni uchaguzi mkuu ujao???Mnakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa wa dar kilichotokea??Je mnyika na mdee wamekuwa effective kutimiza Ahadi zao na kutatua kero?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.