Hakuna mishahara hii polisi
Mishahara ya polisi unalipwa kwa aina mbili kwa cheo na elimu (nayo inatofautiana kulingana na kada;afya,Tehama na nyinginezo)
Mf. Form 4(Constable) analipwa wastani wa 460+
Form 6 (constable) analipwa mshahara sawa na koplo
Diploma (Constable) analipwa sawa na...
Kozi ya polisi ni miezi 12 katika semester 3
Sem1 (miezi 3)- masomo ya nje huko wanasoma judo,singe,kwata na silaha
Sem2 (miezi 6)-darasani na hapo ni kitabu cha kufa mtu wanafanya assignment,test na mitihani ya mwisho kwa masomo kama 12+ hv
Sem 3 (miezi 3) hapo ni field na mbinu za medani sifa...
Kuna dogo langu ameitwa hivi Kuna utaratibu wa kukisanya simu pale shuleni au hatakiwi kukanyaga akiwa na simu maana ni mgeni kabisa hawajawahi kufika hata moshi
1.kuhusu namba ya simu ni kwaajili ya maelezo ya ziada pale yanapohitajika mfano kuhakiki kama karani alichukua taarifa sahihi
2.kuhusu unaposhinda ni kujua uhamaji wa kati wa mchana mfano kwa DSM watu hutoka Temeke, Kigamboni,Ubungo na Kinondoni kwenda Ilala( kariakoo au Posta) serikali itapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.