Kwa miaka yangu hii 39, nimebahatika kuwa na Watoto 3, na kutalikiana na mama yao mahakamani mwaka moja na nusu sasa.
Kama inavyo sema biblia” afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa” 1 Wakorintho 7:1-2.
Natafuta dada wa miaka 35 na kuendelea, wa dini yoyote, kabila lolote mrefu kiasi mwembamaba...