Recent content by LUGAMWI

  1. L

    Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

    Unajua Mungu ni wa ajabu sana, haya yote aliyaona. Kuna kitu kinaitwa HATIA!!!! Utakuwa na mali zote za marehemu, utapanda cheo, nk, nk. Lakin hakuna Furaha ya Maisha, hakuna Amani. Nafsi itazungumza na wewe
  2. L

    Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

    Nasikia kwenye wana ccm wengi ndio kuna popobawa wa kutosha.
  3. L

    Msanii Menina aitwa na BASATA baada ya video zake zisizo na maadili kusambaa

    Sijawahi on a video msanii akibadirisha pedi. Hizi mambo wao wenyewe wanazitaka na wana sambaza wao wenyewe
  4. L

    Sipewi unyumba

    Fanya hivi, acha ujinga kamsemee kwa mama yake
  5. L

    Mwanamke muogope sana anapokuwa amekupenda kwa pesa zako. Kifo cha Tob Cohen ni fundisho kwetu wanaume

    Na ni vile ni Mdachi, serikali yao ilisimama kufanya upelelezi. Mume angekuwa mtu mweusi wa kutoka Tanzania, ndio basi tena asingeweza kupatikana daima.
  6. L

    Mwanamke muogope sana anapokuwa amekupenda kwa pesa zako. Kifo cha Tob Cohen ni fundisho kwetu wanaume

    Hawa wa kaskazini ni urithi wa vizazi na vizazi, na bado wanauwa sana wanaume wasio wa kabila zao. ndio maana kuoana wao kwa wao ni ngumu, amkeni enyi mlio lala amkeni enyi wazaliwa wa kabila zingine. hawa watu hawafai!!!
  7. L

    Mke wangu ananilazimisha nimuombe msamaha mbele ya Kanisa

    Nisshajua huyo mama ni wa kutoka wapi!! pole
  8. L

    Natafuta mke mgumba

    Kwa miaka yangu hii 39, nimebahatika kuwa na Watoto 3, na kutalikiana na mama yao mahakamani mwaka moja na nusu sasa. Kama inavyo sema biblia” afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa” 1 Wakorintho 7:1-2. Natafuta dada wa miaka 35 na kuendelea, wa dini yoyote, kabila lolote mrefu kiasi mwembamaba...
Back
Top Bottom