Napenda kumshauri Mh: kwa taarifa anazopata asizifanyie kazi mpaka azipatie ufumbuzi wa kina,
Kwa mfano: vijana walojenga mererani ni wachache sana walochaguliwa kujiunga na jeshi la POLISI na wengine ni vijana tu wakawaida ambao hawajashiriki katika ujenzi ila walikua vikosini wakishughurika na...
Unatafuta msanii au mwny kipaji cha usanii nikiwa namanisha hajawahi toa music wwt ila ana aidia na music ambae hajapata wakumwendeleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujuzi wangu ni usanii
Upungufu ni kutopata pa kujiendeleza na ukosefu wa mtaji pia
Wazo kuanzishwe account kwa wasanii chipukizi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.