Recent content by LUEBEN

  1. L

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 22 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    Hivi huyu Ghasia anaghasia kweli. Hivi kumsakama Warioba na kumwambia afunge mdomo wake yeye haoni kwamba ni matusi kwa wazee. Warioba anayohaki ya kujibu mapigo kwani yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa katiba hiyo ni haki atoe majibu. Hawa Ghasia jenga hoja nasio kutukana na kukashifu wazee wa...
  2. L

    Chadema wamebakiza jambo moja ili waingie ikulu

    Wewe kiumbe wa ajabu kwenye hili taifa mambo ya udini na ukabila unapenda sana. Hiyo ni propaganda tu. Ukweli upo na unaufahamu. ACT ni mdudu gani? Hakina umaarufu huo hata kwa asilimia 0.0001
  3. L

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Ngoja daftari la wapiga kura lifanyiwe mabadiliko ndio utajua hayo unayosema yanaukweli au unajifariji
  4. L

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr slaa tu
  5. L

    Mwigulu Nchemba ni kiboko ya chadema; afanya kufuru Songea.

    Jamani heti huyu naye ni waziri.!!!!!!!!!!!!!!!
  6. L

    Kwani CHADEMA inahitaji back up ya waislam ili kwenda ikulu?watuachie uislam wetu wafanye siasa zao

    Lipumba kwahakika hafai hata kupewa ujumbe wa nyumba kumi. Hafaiiiiiii.
  7. L

    Mnyika, Lema na Makamu Mwenyekiti Zanzibar Waacha Gumzo Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma

    . Akili yako mkuu inataka kufanana na zzk anaye pumua kwa kutumia oxygenomahakama. Ambaye mtaji wake ni kuudanganya umma ili apate huruma.
  8. L

    Prof. Mwesigwa Baregu: Mzozo wa CHADEMA unatokana na wanachama.

    Zamani mtu kuwa na mvi au nywele nyeupe ni dalili za busara na hekima aliyonayo mtu huyo, lakini siku hizi kuna nywele / mvi za bandia kama za wasanii akina Masanja. Kwahiyo sio ajabu kumuona mtu mzima anaongea pumba wakati huu kwani majira haya nitofauti na zamani. Mwisho wana Jf mkumbuke...
  9. L

    Mke wa Henry kILEWO(cHADEMA)Awapa SOMO MBOWE NA SLAA KUHUSU UONGOZI NA KUTUNZA FAMILIA

    Sorry typing error ninamaanisha hivyo henry Kilewo.
  10. L

    Mke wa Henry kILEWO(cHADEMA)Awapa SOMO MBOWE NA SLAA KUHUSU UONGOZI NA KUTUNZA FAMILIA

    M2 NI Henry Kilewo Kwa maneno ya huyu mwanamke yanadhihirisha wazi m2 sasa ni Kilewo. Hili linahitaji uthibitisho kutoka kwa Kilewo mwenyewe. Lakini kunyamaza au kuendelea kunyamaza kimya hakuta msaidia sana. Mimi ninaamini M2 ni yeye.
  11. L

    Mke wa Henry kILEWO(cHADEMA)Awapa SOMO MBOWE NA SLAA KUHUSU UONGOZI NA KUTUNZA FAMILIA

    Hapa Joyce Kiria kateleza au hafikirii kwa kutumia kichwa. Kwani kuwa kiongozi sio ufakatifu kwamba wananchi wanahitaji mtu mtakatifu ili awaongoze. Kuna kiongozi aliye wahi kuwa mashughuri kama Nelson Mandela, aliyefungwa jela miaka 27. Mandela huyu maisha yake ameshakaa na wake watatu hadi...
  12. L

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Bado sijafurahia.yameondoka matawi shina lenyewe zzk bado. Hebu cc leteni raha kwa wa tz wapenda mabadiliko na maendeleo.
  13. L

    Dk. Kitila Mkumbo, Kwanini watu makini wasianzishe chama chao?

    Hakuna chakuathirika kwa chama kwasababu hakuna mtu aliye juu zaidi ya chama. Wakuu zzk ana muda gani sasa hajafika ofisi za chama Ufipa. Basi kama yeye ni zaidi cdm ingesha kufa kwa muda wote huo karibu mwaka mzima ambao zzk hakuwepo kimawazo na kimwili katika chama. ili mbegu iote ni lazima...
  14. L

    Dk. Kitila Mkumbo, Kwanini watu makini wasianzishe chama chao?

    Hapa naona huyu dr Kitila Mkumbo kweli kichwa yake haiko sawa na huu udaktari sijui aliupataje. Ni hivi karibuni alikana kuhusika na uongozi Chadema pale alipovuliwa ukuu wake katika chuo kikuu DUCE. Sasa anapotoa mada kama hiyo anataka kutuaminisha nini sisi watanzania? Siasa za kweli hazitaki...
  15. L

    Wana JF, Bad News to Tourism Sector in Tanzania, watch out please. Tanzania will become bankrupt

    you know this condition wont only affect Tanzania but also kenya. because animals have a tendence of moving due to weather changes so if poachers will kill inTanzania animals will still shift. the only solution is to fight these poachers together or we will all loose these animals.
Back
Top Bottom