Mimi naona Makamba na Mzee Wasira waache hayo kwani bila Mzee Makamba, January angekuwa sana na mimi tu, na Wasira bila kasi ya Magufuli leo angekuwa waziri. Wote wamebebwa nna mifumo.
Nataka kujiendeleza kielimu lakini sijui nisomee fani gani ambayo ina soko la ajira la uhakika? Binafsi nimefanya QT 2010, na nikachukua Foundation course pale Open University kwa ajili ya kusomea sheria lakini naona kama itanisumbua mpaka nije kujulikana. Hivyo nafikiria kusomea IT and...
Hongera kwa uamuzi wa busara, jitahidi kuwasaidia wengine ili wasinyonywe pia nawe wakati unawasaidia pata faida kwa msaada wako lakini usiwanyonye. Na mimi ni scriptwritter ninatafut pa kuanzia tusaidieni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.