yan hapa arusha ndousiseme...wa mama wanadanganyka na hayo makansa kwa arusha kansa lnalojulkana kwa ss ni kwa nabii malisa...wanaambiwa njoen mtolewe majin kahaba
We hujui TANESCO walivyo, we toa rushwa kidogo unakuja kufungiwa umeme,bila hivyo unaweza ukasubiri hata huo mwezi wa 5 na wasije wakaendelea kukuzungusha.
Hii ndio Tanzania yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.