Recent content by lucypeter

  1. L

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    hongera sana...atakua hana shida ndgondgo huyo
  2. L

    Kati ya Bange na Sigara, ipi ni hatari zaidi kiafya?

    inafaida ase...tumia wakat unataka kusoma huta lala utashka vtu husahau...so sigara ni hatar sana
  3. L

    Kwa wadada na wakaka wenye tabia hii

    Mwenye sikio na asikie ujumbe umefka mkuu
  4. L

    Hii ni dharau kwa wachaga

    jaman mbona hvyo lkn
  5. L

    Misosi mingine kukomoana tu

    daaah nkwel...
  6. L

    Misosi mingine kukomoana tu

    mmmmh...na watu wanakula au
  7. L

    TANESCO, Mtandao wa LUKU toka jana haupatikani

    nmeulza mfanyakaz wa tanesco kasema..wanabadlsha systm za unit kwasababu umeme umeshuka kwanzia leo...ndomaana huduma haipatkan
  8. L

    Katulie kwa mumeo sasa

    daaah...kapendeza mpka bas...had namwonea wivu
  9. L

    Jamani tunaelekea wapi...??

    alaniwe milele..kwel wanawake wengine wana roho mbaya...mtoto wa mwanamke mwenzako unamfanyia kitendo kama hcho...mungu amsamehe
  10. L

    Wadada wa kazi ni balaa

    daaaaah..!inaskitsha sana jaman...
  11. L

    Yahusu wafufuao wafu na misukule

    yan hapa arusha ndousiseme...wa mama wanadanganyka na hayo makansa kwa arusha kansa lnalojulkana kwa ss ni kwa nabii malisa...wanaambiwa njoen mtolewe majin kahaba
  12. L

    Maombi ya LUKU, TANESCO mnanitesa

    We hujui TANESCO walivyo, we toa rushwa kidogo unakuja kufungiwa umeme,bila hivyo unaweza ukasubiri hata huo mwezi wa 5 na wasije wakaendelea kukuzungusha. Hii ndio Tanzania yetu.
Back
Top Bottom