usikatee tamaa amin yupo aliye wa kwako,kosa kubwa n kukubal ku ngonoka nae tena,kikubwa n msimamo tu.mm wakwangu nlikaa nae miaka 5 alniacha bila 7b lakin nlisema sitommbembeleza nlmuacha akaenda,aljua tukiachana ntachuja ndo kwanza mwaka umekatika nazid kunawir na v hips vimetoka,saiv anarud...
kwann mnapenda kuzihak rangi nyeus??unafikir kila mweus n mmbaya??ningekua na weza ningeweka picha yangu hapa usingekaa uzihak tena rangi nyeus,anyway endelea kuabudu makaburu
umemtus mpaka mama yako,na mkeo(kama unae)na dada zako,hv huon hata aibu kusema wanawake wachafu,ww ulvyozaliwa ulkua unanawishwa na baba yako??fyuuuuuu!
tena kama huyu nyang'au wangu ndo sitak hata kuliona,fyuuu umekaa na limtu for 5yrs mnaachana ananitangaza kwa marafik zake kwa mabaya tu,naliombea hata likufe fyuuu
haya ushamnyoa na chupa kakalia,mumewe ndo ataacha michepuko??amuulize yule mwenzie alietoka dar kuja kufumania arusha akaambulia talaka,Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.