Wanoadharau UDOM naona bado hawahaelimika kabisa....siku zote mwanzo ni mgumu...so wanaoponda waendelee kuponda tu ss tusoma hapo na tutahitimu na tutapiga kazi kama kawaida
Unajua mm naamini ukishamaliza mitihani unajua kwamba utafeli au utafahulu kutegemea na jinsi ulivyofanya mtihani bila kuangalia madaraja...na niamini kuna wengine wanashauku kujua habar mbalimbali za vyuo wanavyowish kwenda kusoma thats way am introducing this thing now...
Hivi unafikiri kupata division one ndo kufaulu? Unatakiwa ukumbuke kuwa hayo ni madaraja tu....haimaanishi kuwa mtu akiwa na division three amefeli....na ujue kuwa kupata duvision one ndo kunyesha kuwa unajua sana....na swala la chuo usidharau kwa ww maybe upo chuo kizuri...swala la ajira...
Mwenye notes za general chemistry,in organic chemistry, organic chemistry na basic analytical chemistry za aina yoyote za first year naomba anitumie my e-mail is thomasnyarutu@yahoo.com,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.