Recent content by lucky_boy

  1. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Asante kwa ushauri wako
  2. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Thanks for the Insight ✊🏾
  3. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    -Process design -Process control -Quality assurance and control -Risk assessment and management -Production management -Production planning -Analysis and Presentation. Hizi ni baadhi tu
  4. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Nimemaliza mwaka 2022. Nimefanikiwa kufanya internship mwaka mmoja baada ya hapo sijabahatika kupata nafasi sehemu nyingine.
  5. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Habari wana jamii forum, chemical and process engineering ni kozi nzuri sana kwa sasa japo kupata nafasi ya kuajiriwa ndio changamoto. Naomba tutumie uzi huu kuandika fursa mbali mbali zinazohusiana na hii taaluma kwenye viwanda au taasisi mbali mbali.
  6. lucky_boy

    Fursa za kazi kwa chemical and process engineer Tanzania

    Habari wana jamii forum, chemical and process engineering ni kozi nzuri sana kwa sasa japo kupata nafasi ya kuajiriwa ndio changamoto. Naomba tutumie uzi huu kuandika fursa mbali mbali zinazohusiana na hii taaluma kwenye viwanda au taasisi mbali mbali.
  7. lucky_boy

    DOKEZO Kasulu: Eneo la NYAKITONTO, Kamchape wanahatarisha usalama wa raia na Polisi wapo kimya!

    Wachawi ni adui wa maendeleo na hawa KAMCHAPE nasikia iliasisiwa na rais baada ya kufanyiwa mazingara alivotembelea Kigoma, ndo akawapa mamlaka ya kuwakomesha wachawi. Sasa hawa wanaowapinga KAMCHAPE itakuwa ndo wachawi wenyewe wanaogopa kuachishwa uchawi wao
  8. lucky_boy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Inawezekana ila ukiwa peke yako ukatulia sio na kadamnasi kama hivi
  9. lucky_boy

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Hongera kwa mwanzilishi na washiriki wa uzi huu. Hamasa kwa wanafunzi kupitia uzi huu na kufaidika nao. Sure thing this thread deserve recognition from the ministry of education. [emoji122][emoji122][emoji122] Elimu ya bure kabisa.
  10. lucky_boy

    Naomba msaada kwenye hili suala tafadhali

    Asante napenda kujua tu alipataje nafasi uko na yeye si mwalimu?
  11. lucky_boy

    Pata fremu za maduka popote pale ulipo

    Nasubiri Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  12. lucky_boy

    Msaada ajira portal kwangu haijawai kukubali application nini nifanye?

    Pamoja mkuu Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  13. lucky_boy

    JamiiForums ilivyonibadilisha maisha

    Au aweke link tuingie miguu yote Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom