-Process design -Process control -Quality assurance and control -Risk assessment and management -Production management -Production planning -Analysis and Presentation. Hizi ni baadhi tu
Habari wana jamii forum, chemical and process engineering ni kozi nzuri sana kwa sasa japo kupata nafasi ya kuajiriwa ndio changamoto.
Naomba tutumie uzi huu kuandika fursa mbali mbali zinazohusiana na hii taaluma kwenye viwanda au taasisi mbali mbali.
Habari wana jamii forum, chemical and process engineering ni kozi nzuri sana kwa sasa japo kupata nafasi ya kuajiriwa ndio changamoto.
Naomba tutumie uzi huu kuandika fursa mbali mbali zinazohusiana na hii taaluma kwenye viwanda au taasisi mbali mbali.
Wachawi ni adui wa maendeleo na hawa KAMCHAPE nasikia iliasisiwa na rais baada ya kufanyiwa mazingara alivotembelea Kigoma, ndo akawapa mamlaka ya kuwakomesha wachawi. Sasa hawa wanaowapinga KAMCHAPE itakuwa ndo wachawi wenyewe wanaogopa kuachishwa uchawi wao
Hongera kwa mwanzilishi na washiriki wa uzi huu. Hamasa kwa wanafunzi kupitia uzi huu na kufaidika nao. Sure thing this thread deserve recognition from the ministry of education. [emoji122][emoji122][emoji122] Elimu ya bure kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.