Recent content by lucky_boy

  1. lucky_boy

    Usafi wa mikono baada ya kutoka haja

    Muanzisha huu uzi inabidi aangaliwe kwa makini bila hivyo anapotea yaani anaona kutumia tissue ndio usafi kuliko kutumia maji🤔
  2. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Nishasema kutoa hoja kwa jazba wengine hatuwezagi kaka Mnachihanguuu watu huwa hawabishani kwa matusi. Kigoma kwetu ni wabishi sana lakini sio kwa matusi. Kutumia matusi ni dalili za kwamba unaambiwa ukweli na huwezi kujitetea. Namkubali Mwachiluwi ni mwelewa
  3. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Halafu uzi mzuri, mpunguze kuchangia kwa jazba ili mtoe point sio kuleta hasira zenu za kupambana na maisha mzimalizie kwenye uzi wa watu 😂
  4. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Sasa nidanganye ili iweje kwani nalipwa au mpaka nikuletee post nilizopost Twitter kulalamikia mazingira ya Mtwara hata kabla ya kuona huu uzi. Ila nakuacha sababu tuko hapa kujenga sio kubomoa
  5. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Now unaongea point, nadhani umepata picha sasa ya kitu kinachoongelewa kama ni hivyo sawa. Lakini kiujumla mambo ni mengi kuna mwingine haraka haraka atasema eti tunajikweza kwa standard hapana. Kama mimi ni Mtanzania wa kawaida mno nimetokea mkoa wa kimaskini Kigoma. Nimeishi Geita, Mwanza...
  6. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Huelewi kinachoongelewa hapa ni bora na wewe ukalale tu
  7. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Sorry miss. Nimekutana tu na mada nikaanza kuchangia. Ila ukweli umeusema na nakuunga mkono
  8. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Hakuna mtu kasema huwezi kuishi mbona hata sisi tunaishi lakini tunasema ni tofauti na ile benchmark ya kawaida.
  9. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Kaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq...
  10. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    We jamaa, anaongelea maisha ya kawaida ya Mtanzania, we nae jau tu. Sasa unategemea labda mimi nina kipato cha laki3 kwa mwezi nifike sehemu nichukue lodge ya 50k per day.
  11. lucky_boy

    Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

    Hapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi...
  12. lucky_boy

    Wamakonde ndiyo kabila bora sana Tanzania

    Sio kwa ubaya Swala la ukarimu hiyo sifa ya Tanzania nzima, sasa hivi niko Mtwara, nina kama miezi mi5. Nilichojifunza -Wamakonde hawajui kujielezea sijui wanaogopa nini nimetumia kama miezi kadhaa kujua kwamba ukimuuliza kitu usitarajie kupata jibu la moja kwa moja aidha akudanganye au...
Back
Top Bottom