Kuna kipindi zilipitishwa sheria za ovyo kwa wamiliki wa YouTube channels, Online tv na platforms zingine kwa ili kukidhi matakwa ya kisiasa. Faida za upande wa pili hazikutazamwa, kwani mamlaka zingeweka utaratibu mzuri wa udhibiti & usimamizi huku zikikusanya mapato.
Internet ni biashara...
Unapoliombea taifa ni lazima ukemee maovu. Shida inakuja, pale unapomuomba Mungu akomeshe uovu wakati ukimtaka awabariki wanaofanya uovu uendelee kuwepo katika jamii.
Ni lazima kujifunza unafiki kwanza ili kufanikisha maombi kama haya.
Umeandika mengi, yenye kuibua tafakauri na maswali pia. Lakini bado wasomaji wa andiko hili watataka kujua. Nje ya sheria mama (Katiba) na sheria zingine watu wachague lipi.
1. Kuanza na katoba mpya ili wasizifanyie unafiki nafsi zao wa kumtambua bila kujali utaratibu umemkataa?
2. Kuendelea...
Kama ni kweli iunganishwe kwenye taarifa ya matukio ya kikatili wanayotendewa wana harakati na wadai haki yaliyowahi kuripotiwa. Huu ni ushahidi muhimu sana.
Kama unao utajiri wa kutosha na unachukia umaskini, wape ajira hao wenye kipato duni kisha walipe ujira wao kadri ya uwezo wao kuzalisha bila kuwapunja. Watanufaika wao nanvizazi vyao. Utajiri huendana nankuzalisha ajira kwa wengine.
Uwanja msafi?
Dildo hazijakuharibu?
Unamlisha chakula sahihi? Au unamlisha chips na mayai halafu hela nyingine unapeleka vikoba?
Upo romantic? Mwenye kumheshimu mume? Au inamlazimu atoe wazungu awe huru utajua na genye zako😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.