Recent content by Lucky Star

  1. Lucky Star

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Kwa maana ya kuwasaidia au kwa maana ya circle yao? Sorry kama swali langu litaleta shida ya tafsiri.
  2. Lucky Star

    Damas Ndumbaro: Marufuku kuvaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly kwa Mkapa kwenye michezo ya Simba na Yanga

    Hayo mambo yanafanyika kwenye mikutano ya siasa. Kwenye mkutano wa chama fulani hutakiwi kwenda na mavazi yanayotambulisha itikadi ya chama shindani. Mpira ni burudani, mpira ni furaha + ubunifu pia. Ndiyo maana kuna watu wanatengeneza propaganda ambazo zina"boost" biashara zao ikiwamo mauzo ya...
  3. Lucky Star

    Anayejua utaalamu wa kudhibiti sensitive content mtandaoni please

    Facebook umekuwa mtandao wa hovyo sana
  4. Lucky Star

    Morogoro: Tetemeko la Ardhi limepita muda huu 18.03.2024 saa 16:16

    Wewe na yeye nani mwenye tatizo? Hata wakati wa tsunami watu wangefuata wanyama ambao walianza kuondoka mapema kutoka ukanda wa bahari athari zungepungua. Wanyama wanahisi hatari haraka zaidi kabla yetu viumbe wajuaji.
  5. Lucky Star

    Kati ya Nyerere aliyetulisha unga wa njano, mahindi ya mifugo Marekani na Michele wa virutubisho yupi bora?

    ARV ni jambo tofauti na vyakula vilivyoongezewa virutubisho. Tujikitia kwenye mada ya vyakula. Toka enzi za Mwl. Nyerere hadi leo bado taifa halijakomaa kiasi cha kushindwa kujitosheleza chakula? Tunajivunia kuwa na Chuo Kikuu bora cha Kilimo SUA, Tuna vituo vya utafuti mbalimbali ambavyo...
  6. Lucky Star

    Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

    Malouda Solomon Kalou Pique Tomáš Rosický Van Persie
  7. Lucky Star

    Jina gani la mchezaji huwa linakuvutia pale linapotamkwa?

    Joseph Kaniki Gorota kumbakumba Fagio la Chuma
  8. Lucky Star

    Wanaume mnaojitafuta anzisheni familia mkishajipata, mnaharibu maisha ya watu na kutengeneza single mothers wengi

    Samahani muanzisha mada, unaongea haya kwa dhati au kuna jambo linakusukuma kuwa hivyo? Suala la Single mothers ni jambo pana sana. Bila kuumiza kichwa mtazalisha single mothers wengi zaidi kwa kudhani mnawasaidia.
  9. Lucky Star

    Poleni wanaume

    Kumbe hii vita ya ukweli!!
  10. Lucky Star

    Mtandao wa tigo una "filter" text meseji zetu

    Hamna lolote wanafanya. Labda kama system yao inatambua maneno ya Kingereza tu. Otherwise hamna jipya
  11. Lucky Star

    Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

    Tunaozaa na wanawake wa mtaani kisha kuwaacha bila mwelekeo ni sisi. Tunaowaanzishia mada ni sisi pia. Wingi wao siyo sababu ya wao kunyanyasika. Tunapenda kuwa nao lakini hatupendi kuwapa thamani yao, dada zetu na shangazi zetu hakuna namna watakuwa wa kiume ila kubakia wakike. Kuna waliozalia...
  12. Lucky Star

    App Gani inaweza pata watumiaji Wengi Tanzania

    App ambayo mteja anaweza kuaccess kama library ya nyimbo, movies + tamthilia. Weka categories mteja aweze kuchagua. Ikiweza ku stream + option ya kudownload + /save to watch later & Quality ikiwa nzuri utawapata sana.
Back
Top Bottom