Hayo mambo yanafanyika kwenye mikutano ya siasa. Kwenye mkutano wa chama fulani hutakiwi kwenda na mavazi yanayotambulisha itikadi ya chama shindani.
Mpira ni burudani, mpira ni furaha + ubunifu pia.
Ndiyo maana kuna watu wanatengeneza propaganda ambazo zina"boost" biashara zao ikiwamo mauzo ya...
Wewe na yeye nani mwenye tatizo? Hata wakati wa tsunami watu wangefuata wanyama ambao walianza kuondoka mapema kutoka ukanda wa bahari athari zungepungua.
Wanyama wanahisi hatari haraka zaidi kabla yetu viumbe wajuaji.
ARV ni jambo tofauti na vyakula vilivyoongezewa virutubisho.
Tujikitia kwenye mada ya vyakula.
Toka enzi za Mwl. Nyerere hadi leo bado taifa halijakomaa kiasi cha kushindwa kujitosheleza chakula?
Tunajivunia kuwa na Chuo Kikuu bora cha Kilimo SUA, Tuna vituo vya utafuti mbalimbali ambavyo...
Samahani muanzisha mada, unaongea haya kwa dhati au kuna jambo linakusukuma kuwa hivyo?
Suala la Single mothers ni jambo pana sana.
Bila kuumiza kichwa mtazalisha single mothers wengi zaidi kwa kudhani mnawasaidia.
Tunaozaa na wanawake wa mtaani kisha kuwaacha bila mwelekeo ni sisi. Tunaowaanzishia mada ni sisi pia.
Wingi wao siyo sababu ya wao kunyanyasika.
Tunapenda kuwa nao lakini hatupendi kuwapa thamani yao, dada zetu na shangazi zetu hakuna namna watakuwa wa kiume ila kubakia wakike.
Kuna waliozalia...
App ambayo mteja anaweza kuaccess kama library ya nyimbo, movies + tamthilia.
Weka categories mteja aweze kuchagua.
Ikiweza ku stream + option ya kudownload + /save to watch later & Quality ikiwa nzuri utawapata sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.