Recent content by Lucky Star

  1. Lucky Star

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana kuonesha tupu zao mitandaoni?

    Ajabu sigara haifanyiwi promo na inauza. Nadhani kuna vitu tuliaminishwa vibaya thamani zake.
  2. Lucky Star

    Aina mpya ya utajili inayokua kwa kasi sana: DIGITAL ASSETS.

    Kuna kipindi zilipitishwa sheria za ovyo kwa wamiliki wa YouTube channels, Online tv na platforms zingine kwa ili kukidhi matakwa ya kisiasa. Faida za upande wa pili hazikutazamwa, kwani mamlaka zingeweka utaratibu mzuri wa udhibiti & usimamizi huku zikikusanya mapato. Internet ni biashara...
  3. Lucky Star

    Wito kwa Watanzania, Wazalendo wa Kweli wa Nchi Yao, na Wenye Mapenzi Mema na Taifa Lao, Tumuombe Rais Samia!, Tuliombee Taifa Letu!

    Unapoliombea taifa ni lazima ukemee maovu. Shida inakuja, pale unapomuomba Mungu akomeshe uovu wakati ukimtaka awabariki wanaofanya uovu uendelee kuwepo katika jamii. Ni lazima kujifunza unafiki kwanza ili kufanikisha maombi kama haya.
  4. Lucky Star

    PostGE2025 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu akutana na katibu mkuu wa TEC Padri Charles Kitima

    Yemen, Syria, Palestina, Afghanistan, Pakistan, Iraq, UAE, Jordan etc. Sihitaji maelezo mengi😂
  5. Lucky Star

    PostGE2025 Mnyika, Japo Uchaguzi Sio Huru, Wa Haki na Halali, lakini Usimwite Rais Haramu!. Baada ya Kuapishwa ni Rais Halali Kisheria japo Sio Ki Haki!

    Umeandika mengi, yenye kuibua tafakauri na maswali pia. Lakini bado wasomaji wa andiko hili watataka kujua. Nje ya sheria mama (Katiba) na sheria zingine watu wachague lipi. 1. Kuanza na katoba mpya ili wasizifanyie unafiki nafsi zao wa kumtambua bila kujali utaratibu umemkataa? 2. Kuendelea...
  6. Lucky Star

    GE2025 Chahali: Kuna Maofisa Usalama wa Tanzania wamekamatwa Marekani wakipanga kuwadhuru Wanaharakati Watanzania waishio huko

    Kama ni kweli iunganishwe kwenye taarifa ya matukio ya kikatili wanayotendewa wana harakati na wadai haki yaliyowahi kuripotiwa. Huu ni ushahidi muhimu sana.
  7. Lucky Star

    GE2025 Samia: Mimi ni Mpemba mwenzenu, nimekuja kuomba Kura

    Kampeni za rushwa, udini na ukabila.
  8. Lucky Star

    Kanisa Katoliki Kirumba lazingirwa na Polisi kisa Mkutano wa CHADEMA, baadhi ya watu wamekamatwa

    Ule ni uwekezaji/kitega uchumi cha kanisa. Hivyo hata wewe unaruhusiwa kukodi na kutumia kwa shughuli zako.
  9. Lucky Star

    Mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa mtoto wakati unajua wewe ni fukara, maskini choka mbaya, hohe-hahe?

    Kama unao utajiri wa kutosha na unachukia umaskini, wape ajira hao wenye kipato duni kisha walipe ujira wao kadri ya uwezo wao kuzalisha bila kuwapunja. Watanufaika wao nanvizazi vyao. Utajiri huendana nankuzalisha ajira kwa wengine.
  10. Lucky Star

    Nimsaidie vipi huyu ndugu mwenye masharti kibao

    Mtafutieni mume kwa lazima, akisusa akaondoka ni ahueni akikubali nan kuolewa baada ya miezi 9 mumtembelee ndugu ili kujua kama anadumisha mashartui.
  11. Lucky Star

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    Non aux réformes, non aux élections Chawa soma hiyo👆
  12. Lucky Star

    Hivi kipi kinaanza kati ya kuweka kiduku na ujinga?

    Bila ujinga huwezi kuweka kiduku. Na ukishaweka kiduku ujinga unakolea zaidi. So, trend iko namna huu. Ujinga > Kiduku > Ujinga Pro.
  13. Lucky Star

    Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Muongezee swali. Je, bodaboda siyo wanaume? Au wao ni sawa na sex toys anazotumia
  14. Lucky Star

    Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Uwanja msafi? Dildo hazijakuharibu? Unamlisha chakula sahihi? Au unamlisha chips na mayai halafu hela nyingine unapeleka vikoba? Upo romantic? Mwenye kumheshimu mume? Au inamlazimu atoe wazungu awe huru utajua na genye zako😅
Back
Top Bottom