Nimekukubali mkuu, ni kweli hizo issue karibu kila mtu anazo sema unakuwa unapuuzia tu, nahisi nahitaji kusoma vitabu zaidi ili kujua nguvu yangu niliyonayo,
mkuu kwa uzoefu wako naweza tafuta kitabu gani ambacho kitanisaidia kujua nguvu zangu.
Kwanza ninawapa pole wana CCM wote wa wilaya ya mwanga na wapenda amani wote.kwa sisi wapenda amani tunasubilia vyombo vya ulinzi na usalama vitafanya kazi yao na tutapata taarifa ya kiuchunguzi kutoka kwao.
Nguvu ya chama itaonekana kwenye chaguzi zinazo kuja,. Wana chama wenzangu msife moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.