Kila siku huwa napitia humu ndani,lakin sijaona soucre ya kuaminika ya mtu anaeuza odds za ukweli
Natafuta odds niwe nanunua, maana nakuwa bize sana kiasi nashindwa kusuka mwenyewe mkeka wangu
Si lazima awe mtu, hata kama kuna apps mnaifahamu ya kueleweka basi mniambie
Natumia betpawa...
Nina tumia sumsung note 10+ hizi features zipo...ninaweza kuscan bila kutumia app kwa kutumia tu kamera ya kawaida
Lkn pia internet haikatiki kama hio ifoni yako
Wakuuu mm sio mzoefu, ila huwa najaribu jaribu na kila siku nakosa... sasa sina tamaa nataka kukuza mtaji nahitji odds chache hata kama ki timu 3 lkn uhakika kila siku walau nikuze mtaji. Mnanisaidiaje?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.