Recent content by lucas ngoto

  1. L

    Kwanini kila mwana CCM anayehisi kunyimwa nafasi kugombea ukimbilia CHADEMA?

    Unapougua unakimbilia hosptal au ukiwa na njaa unatafuta chakula
  2. L

    Madai ya Serikali kufilisika na yanayoendelea ndani ya Wizara ya Fedha!

    Hivi nyie ccm mkiimaliza hii nchi mtahama si ndio
  3. L

    Mikakati kabambe ya Kinana yaanza kulitikisa Jiji la Mbeya

    Kumsikiliza mtu ni jambo ligine kumuuga mkono ni jambo ligine.ikubukwe kila mtu ana haki ya kusikiza na kusikizwa,si utwambie pia gharama iliyotumika kuwaalika hapo inawezekana kila mtu kalipwa
  4. L

    Unaweza kuizungumziaje Picha hii??

    Ee jamani yaan ssm hawana huruma kutumikisha wazee hawa
  5. L

    Revocatus Babeiya: Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Missenye na Mwalimu wa Shule ya Serikali!

    Ccm mtumishi akiwa kwao havuji sheria awe wa cdm utasikia vifugu vya sheria vikisomwa
  6. L

    Revocatus Babeiya: Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Missenye na Mwalimu wa Shule ya Serikali!

    Kuna mwingine ni mwenyekiti kata yabumera huku tarime
  7. L

    Vijana watano (5)wauawa na polisi Tarime.

    Hapa kwa sasa kuna viogoz wakubwa kwa sababu ya uziduzi skondar nyamwanga ngoja tusubiri matamko yao
  8. L

    Vijana watano (5)wauawa na polisi Tarime.

    Badala mgd kuleta baraka imekuwa balaa kwetu wanatarime
  9. L

    Vijana watano (5)wauawa na polisi Tarime.

    Mmoja amefia hspl saa 2 uck na nimeondoka hata hajapelejwa mochwari
  10. L

    Tuwe makini

    Mungu pekee anaweza kutuepusha na yote
  11. L

    Tuwe makini

    Cku zimebaki ndogo ili kuumaliza mwaka huu ni vizuri tukawa makini make shetan hunywa damu za watu nyakati kama hizi tumwobe mungu kila wakati atuepushe
  12. L

    Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Karibu tarime tena useme hayo maneno yako au umesahau
Back
Top Bottom