Mi nadhani bado kuna haja ya kupaza sauti kama kweli yanatendeka basi hatua zichukuliwe,mm ni mdau nmesoma hapo kipindi chuo kinabadili jina sisi ndio wanafunzi wa kwanza ambao vyeti vilitumia jina la sasa la MNMA.
Hakika ni aibu kwa eneo km kinondoni kuwa na mwakilishi mwenye elimu duni na yakuokotaokota,ktk hili atakua bubu kuhofia uwezo wke wa kujenga hoja bungeni,lazima aburuzwe na chama,kwa picha hii ndivyo hata mabaraza ya katiba yalivyo.NINI MATOKEO YAKE
No research no right to talk,TFDA wamekurupuka bila kujiridhisha jambo linalozua maswali mengi,wafanye tafiti washirikiane na taasisi nyingine,vyuo na hata wataalam binafsi ndipo watueleze wananchi taarifa inayojitosheleza,mlikua wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.