Recent content by Lubengera

  1. L

    JamiiForums Tanzania Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

    Mkuu, umenikumbusha Swala la Kigoma. Imekuwaje barabara mbovu kiasi kile inajengwa katikati ya mji na viongozi mko kimya, huoni kama ile ni aibu. Tembelea TZ huwezi kuta Barabara ya aina ile popote.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Mifano yako Iko nje ya mada yako kwa kiasi kikubwa. Ndio mana mchangiaji kama Mpwimbe na mwenzake ruaharuaha Leo wanajichukulia point za Bure, maana hujibu hoja zao kulingana na muktadha wa post yako. Post yako imejichanganya yenyewe, haijui inataka nini hasa.
  3. L

    JamiiForums Tanzania Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Mtoa mada Leo amejichanganya sana hasa katika kujibu maswali aliyokuwa anaulizwa. Hali hii imeharibu mtiririko wa mawazo aliyokusudia kutuelimisha au kutufahamisha. Natambua ni moja ya Hazina kubwa na kisima cha Elimu kwa sisi upcoming GT. Asiishie kusema hatujaelewa mada yake, ni yeye ndio...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    Hii mada ya Malcom imekuwa na skeleton tu, ukiisoma vizuri ni kama Haina muunganiko wa mawazo. Imekosa mambo mengi sana ku justify lengo (theme) ya mada yake. Kiufupi imepwaya sana kwa kurejea maswali kutoka Post No 7 kutoka kwa ruaharuaha
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Mpaka sasa hakuna AI inayofikia ChatGPT, watu wana compare na Deepseek! Lakin bado Deepseek haijafikia umahiri wa ChatGPT kwa utajiri wa kukusanya taarifa na kiwasilisha. Analysis inayofanywa na ChatGPT ni yakiwango cha juu sana compared to Deepseek.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Mayova ChatGPT ndio Baba wa AI
  7. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Kipozeo: Haki haiwezi kupatikana bila ya Amani

    Nawe unaona umejenga hoja!
  8. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Kipozeo: Haki haiwezi kupatikana bila ya Amani

    Islamic ni Dini ya Hakhi!
  9. L

    JamiiForums Tanzania Sitosahau nilivyoumbuka airport

    Ulikuwa hufahamu utaratibu, hivyo vyote ungeweza kuviweka kwenye tenga, ukapita kirahisi sana. Kama simu uliweka kwenye tenga, basi ungeweka pamoja na hivyo vyote!
  10. L

    JamiiForums Tanzania Nani anamiliki Internet? (WHO OWNS INTERNET):

    Kama hakuna mmiliki, kwanini tunalipia kupata huduma?
  11. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wanazuoni wa Kiislamu: Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi ambaye ni Mkatoliki katumwa na Fr. Kitima na viongozi wa Kikatoliki ndio maana yupo kimya?

    I wish you could write in Swahili. Otherwise, you need to improve your English, both in writing and speaking.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hivi Jenerali Augustino Pole Pole ni mwanajeshi wa nchi gani?

    Anagonga vipi!? Unaamnisha NATO inakuwa imeingia vita na TZ? Kwa hilo Sahau!
  13. L

    JamiiForums Tanzania Wameua Watanganyika. Sasa hawawazi waliowaua wala Uchumi wa Tanganyika, wanawaza kugawana Madaraka ili waendelee kula.

    Kaka, tunafahamu fani yako ni uandishi! Kuna wakati uandishi unamipaka, sio kila kitu lazima uandike! Natambua kuwa wewe ni wakili msomi! Asante.
  14. L

    JamiiForums Tanzania KERO University of Iringa (UoI) Wanataka tuwape Elfu Arobaini ya Joho. Ni wizi

    Kufua joho moja ni Tsh 10+, wangewaambia mshone ya kwenu gharama ni ni kuanzia 150+K na kuendelea kwa kuzingatia kitambaa
  15. L

    JamiiForums Tanzania KERO University of Iringa (UoI) Wanataka tuwape Elfu Arobaini ya Joho. Ni wizi

    Ndugu yangu, sisi tulio maliza miaka takribani 22 iliyopita tulilipa hiyo, sasa wewe Leo unataka iwe chin? Ulizia vyuo vingine gharama yake, utajua hiyo 40K bado wanawaonea huruma.
Back
Top Bottom