Recent content by luangalila

  1. luangalila

    Traditional Chinese Medicine Dar (hospitali inayotoa huduma ya dawa asili za kichina?

    mkuu kwema, hawa wa china huduma zao Je ulifanikiwa kuzitumia na je zipo vizuri ?
  2. luangalila

    Simba kusanyeni ushahidi huu kuupinga ubingwa wa Barkane CAF na CAS:

    😀😀😀 sio poa benchi la ufundu tena...andikaga pole pole
  3. luangalila

    Naomba kuhoji kuhusu elimu ya Zanzibar

    Hahahaha maisha kama kawaida tu
  4. luangalila

    Prof. Mohamed Janabi achaguliwa kuongoza WHO AFRO

    Mm nipo hapa kama ataendelea na ile tabia yake
  5. luangalila

    Kwa sasa sina kazi ila nina milion 40 sasa ni jenge au nifungue biashara? Naombeni ushauri wenu

    Dah hapo jenga ata kibanda cha vyumba 2 ila nyumba simple yenye budget ndogo kisha itakayo bakia fanya biashara
  6. luangalila

    Bodi ya ligi hawajui majukumu ya timu mwenyeji

    Kwa iyo CAF nao huwa wana wauliza timu mwenyeji kisha ndio wana andaa ratiba ?
  7. luangalila

    Hiki ndicho kinachotuponza sisi Yanga. Tuambiane ukweli tu

    Ununuzi wa mechi ndio shida yenu,
  8. luangalila

    Msaada: Nawezaje kupata ajira katika mashirika kama WORLD VISION, MSICHANA INITIATIVE na mengine?

    worldvision wana portal yao ya kutuma CV, ila sas huwa siwaelewi maanaktk portal yao kuna option ya ku attach CV ila hawasemi kama uattach na application letter sasa huwa siwaelewi wana chagua vipi ?
  9. luangalila

    Hivi inawezekana kuishi kwa bajeti ya kila kitu? Chakula, mavazi, matumizi binafsi, nk?

    Yah uki scan vizuri unaweza yaan ukajibana matumizi kisawa sawa
  10. luangalila

    Hukumu ya mwenye kunywa pombe au kilevi chochote katika uislamu ni kupigwa viboko 80

    Na muislamu aliye OA wanawake zaidi alivyo agiza mtume
  11. luangalila

    Najuta Kudate na Wanawake Wengi wa Kibongo – Inashangaza Sana!

    kwa kweli wanawake wengi wa mjini wame oza sanaa yaani maiha ya star ndio wanayo yataka..kuna haka ka msemo eti '' KUSPOIL'' ukisikia demu wako anakwambia haka kamsemo shekh toka nduki usirudi tenaa ...unakuta demu wako ana hoji eti kwann unawatumia sana hel nyumbani kwenu, eti na kenyewe...
Back
Top Bottom