Recent content by luangalila

  1. luangalila

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole acharuka: CCM yavunja Misingi, Haki yazimwa, Katiba ilichakachuliwa na Utekaji wazidi kutisha

    hiyo saa Tano ya U.S Alaska au saa 5 ya nchi gani hiyo ?
  2. luangalila

    JamiiForums Tanzania Traditional Chinese Medicine Dar (hospitali inayotoa huduma ya dawa asili za kichina?

    mkuu kwema, hawa wa china huduma zao Je ulifanikiwa kuzitumia na je zipo vizuri ?
  3. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba kusanyeni ushahidi huu kuupinga ubingwa wa Barkane CAF na CAS:

    😀😀😀 sio poa benchi la ufundu tena...andikaga pole pole
  4. luangalila

    JamiiForums Tanzania Naomba kuhoji kuhusu elimu ya Zanzibar

    Hahahaha maisha kama kawaida tu
  5. luangalila

    JamiiForums Tanzania Kuitwa Kwenye USAILI Utumishi Ajira Portal, PSRS May 2025

    Saa 1 asubuh kweli ?
  6. luangalila

    JamiiForums Tanzania Prof. Mohamed Janabi achaguliwa kuongoza WHO AFRO

    Mm nipo hapa kama ataendelea na ile tabia yake
  7. luangalila

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa sina kazi ila nina milion 40 sasa ni jenge au nifungue biashara? Naombeni ushauri wenu

    Dah hapo jenga ata kibanda cha vyumba 2 ila nyumba simple yenye budget ndogo kisha itakayo bakia fanya biashara
  8. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bodi ya ligi hawajui majukumu ya timu mwenyeji

    Kwa iyo CAF nao huwa wana wauliza timu mwenyeji kisha ndio wana andaa ratiba ?
  9. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kinachotuponza sisi Yanga. Tuambiane ukweli tu

    Ununuzi wa mechi ndio shida yenu,
  10. luangalila

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nawezaje kupata ajira katika mashirika kama WORLD VISION, MSICHANA INITIATIVE na mengine?

    worldvision wana portal yao ya kutuma CV, ila sas huwa siwaelewi maanaktk portal yao kuna option ya ku attach CV ila hawasemi kama uattach na application letter sasa huwa siwaelewi wana chagua vipi ?
  11. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi inawezekana kuishi kwa bajeti ya kila kitu? Chakula, mavazi, matumizi binafsi, nk?

    Yah uki scan vizuri unaweza yaan ukajibana matumizi kisawa sawa
  12. luangalila

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya mwenye kunywa pombe au kilevi chochote katika uislamu ni kupigwa viboko 80

    Na muislamu aliye OA wanawake zaidi alivyo agiza mtume
  13. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta Kudate na Wanawake Wengi wa Kibongo – Inashangaza Sana!

    kwa kweli wanawake wengi wa mjini wame oza sanaa yaani maiha ya star ndio wanayo yataka..kuna haka ka msemo eti '' KUSPOIL'' ukisikia demu wako anakwambia haka kamsemo shekh toka nduki usirudi tenaa ...unakuta demu wako ana hoji eti kwann unawatumia sana hel nyumbani kwenu, eti na kenyewe...
Back
Top Bottom