Recent content by luangalila

  1. luangalila

    Jamii yetu imegoma kustaarabika, mfano mzuri ni msiba wa Lowassa

    Eh ilikuwaje askofu malasusa akakataa uwepo wa CDM ?
  2. luangalila

    Mtu mmoja akamatwa baada ya kushambulia Kanisa Katoliki Zanzibar

    Sasa m ona kama analia hapo au alichapwa ?
  3. luangalila

    Shinyanga Mjini ni kelele tu za bodaboda zilizotobolewa exhaust

    Yani imekuwa kero kwa baadhi ya wananchi tunao ishi katika huu mji, yaani bodaboda zinatobolewa exoz yaan ni vijana kushindana kupiga vibuyu tu. Ukiaa kidogo maraa paaaaaaa! Ukigeuka tu kidogo tena mara puuuu puuuuu, yaan kiukweli imekuwa ni kero na binafsi nashindwa kuelewa vyombo vyetu vya...
  4. luangalila

    Kwa watalaam wa Lens za camera

    😆😆😆. sawa mkuu
  5. luangalila

    Kwa watalaam wa Lens za camera

    Ulivyotoka ktk lens hii then ukaanza kutumia lens gan
  6. luangalila

    Kwa watalaam wa Lens za camera

    Mfano ww huwa unatumia mode gan kipata picha nzuri Aparture ngapi Shutter speed ngap ISO ngapi
  7. luangalila

    Kwa watalaam wa Lens za camera

    Quality ya picture kwa hii lenz naona kama ni very low
  8. luangalila

    Kwa watalaam wa Lens za camera

    Wadau habari Nauliza kuhusuuborawa izi lens za canon fx1.8 50mm izilens kwa mdau aliye wahi kuzitumia izi lens je anaweza akashare tips za izi lens
  9. luangalila

    Imekaaje kampuni ya kutoa huduma ya mawasiliano kutokuwa na kitengo cha huduma kwa wateja?

    Naona Vodacom wame amua kutoa huduma za customer service za moja kwa moja yaan namba 100. Na TCRA wapo kimyaaa, jamaa nawapigia kuwapa taarifa wafunge namba yangu imeibiwa usiku huu ila ajabu ukipiga simu namba 100 kuna option 2 tu ni either uchague 1 au 2 na zote izo hupati nafasi ya kiongea...
  10. luangalila

    Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

    Kwa inavyonekana aunt alikuwa analeta ujuaji mpaka ktk ndoa 😆😆 Jamaa akaona ngoja ampe maelekezo how men act
  11. luangalila

    Hivi ni kweli serikali haifahamu kero ya usafiri wa mabasi ya Mwendokasi?

    Amnapo hukonNnagalantu ni watu nyoni zaidi
  12. luangalila

    Hivi ni kweli serikali haifahamu kero ya usafiri wa mabasi ya Mwendokasi?

    Yaan ni aibu alafu eti mtu unajipanga kuandaa AFCON 2027 imagine mji ujae wageni let say 50,000 tu ..si itakuwa ni mtafutano hapa Dsm Maana hawa Udart hawata weza kuwa kusafirisha watu wote hawa na huu ndio ukweli
Back
Top Bottom