worldvision wana portal yao ya kutuma CV, ila sas huwa siwaelewi maanaktk portal yao kuna option ya ku attach CV ila hawasemi kama uattach na application letter sasa huwa siwaelewi wana chagua vipi ?
kwa kweli wanawake wengi wa mjini wame oza sanaa yaani maiha ya star ndio wanayo yataka..kuna haka ka msemo eti '' KUSPOIL'' ukisikia demu wako anakwambia haka kamsemo shekh toka nduki usirudi tenaa ...unakuta demu wako ana hoji eti kwann unawatumia sana hel nyumbani kwenu, eti na kenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.