Mbona una ata tu JIKO lako freshy, kama tayari una geto lako una jitegemea hao umemaliza hatua ya kwanza, Mahari huwa sio kosa kudaiwa So wewe wapelekee wakwe zako ata mbuzi 2 tu kwanza, usiwe na sherehe we funga ndoa ata ya BOMANI kwanza then mengine mtayafanya mbele kwa mbele huko
hahaha iyo tbt kimanga ndio kama tandale ndogo yaan ale tbt kimanga mwisho ile njia kama unaenda ile njia ya migombani yaan mi maji taka ina tiririka , nasikia zaman kulikuwa ni bonde la munga lile eneo ila watu wakajifanya ma engineer toka Holland wakajenga mijengo yao ila sasa ivi ni mijumba...
kiindi cha awamu ya mzee wa chato walileta sheria kali sana ya ku deal na mihadati iyo ndio sababu yaan ukikutwa na misokoto yako we OMBA mungu Jaji / hakimu awe amka vizuri , tena kama ndio umekutwa na midawa ya kulevya yaan hapo eleke kipra kabisaa
Kwan hakuna speech ya Mwal Nyerere ambayo anasema kama ikiwa huu muungano umewashindeni hamna budi kuwachana nao ? haileti tafsiri nzuri eti taifa lenzio lina kuita jina baya kabisa lenye kuchukiza jina ''mkoloni'' jambo hili lina paswa kupatiwa suluhisho ya kudumu ambayo ni kuachana na haya...
katika hatua ya kupima uzalendo wa wabunge wetu wa Tanganyika ndio umefika ! maana kwanza tuliambiwa uwekezaji wa DP utaleta tija sana tukaelewa, sasa ktk hili ndio tutaona uzalendo wa wa bunge wetu
kheri nilipitishie tanganyikani ili pesa yangu isaidie maendeleo ya ujenzi wa hospitali za kuwatibia watu wangu, kuliko nilipitishie kwa waarabu alafu wajenge hospitali wajitibie wenyewe NYAMBAVUUUUUUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.