Recent content by Loyal yatch

  1. Loyal yatch

    Nina milioni 2 natafuta gari ndogo iliyotumika ili niifanyie kazi zangu

    Lazima iwe gari Mkuu? Pesa hiyo kidogo sana utakua fundi garage ukipata gari ya hela hiyo Kwanini usinunue Boda Boda as alternative way kwa bei hiyo nadhani unaweza kupata mpya Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Loyal yatch

    Mke wangu hataki niendeshe gari alilonunua. Nakereka sana

    Nunua gari lako Mkuu achana na la Mke Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Loyal yatch

    Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

    1.vx v8....lc 200 series 2.Fortuner...new model 3.Ford ranger-wildtrack 4. Mercedes Benz-G wagon Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Loyal yatch

    Hawa Polisi kama wametumwa kutafuta pesa sasa wanatukomoa

    Degree angekua ofisa na nyota asingekua anahangaika juani na ki mashine kile Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Loyal yatch

    Hawa Polisi kama wametumwa kutafuta pesa sasa wanatukomoa

    Ni mweusi hivi?[emoji51][emoji51] m*s***e namchukia sana huyo alinipiga fine kwa style hiyo hiyo sema siku hiyo sikua na mood ya kugombana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Thubutu wadanganye wajinga
  7. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Wewe sasa ndio mwanamke wa kuoa kama unayoyasema unamaanisha....I [emoji7] mzigua
  8. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Wanawake! Bwana unahisi na wewe baby wako hua Hana shida?[emoji3] akikuomba na wewe uko tayari kumpa? Wanasema “a blessed hand is that who gives rather than who receives “(sina uhakika na kizungu hicho lakini) mjifunze na nyie kutoa
  9. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Na tunawapiga kila style[emoji12]
  10. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Mama zetu walikua hawavai ma nywele ya kichina wala kubandika mikucha....hawakua expensive kabisa kama kizazi hichi cha insta, mnapenda vitu expensive hela zenyewe hamna kazi kutupiga mizinga tu mnaboa
  11. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Wanawake na NYie mnajiendekeza sana kutwa kujifanya mayatima....most men hawapendi kuombwa hela , hela wanatoa automatic sasa mwanaume akishakua na mindset ya huyu manzi ni mtu wa mizinga ataishia kukuchezea na kukudump [emoji41][emoji41][emoji41] ....personally mimi tabia ya kuombanana ombana...
  12. Loyal yatch

    Tanzania nchi inayongoza kwa wanawake kulia njaa

    Mnapenda sana hela🤪🤪 mimi ukileta habari za sijui nauli nakutumia unakuja na kukula then nakumwaga
Back
Top Bottom