Hii kwa UKAWA ni faraja kwasababu wakati wa campaign itabidi Dr. Magufuli atoe majibu ya kina kuhusu matumizi Tshs 100 million za Naibu Waziri Tizeba kama malazi pale New Africa Hotel.
Urafiki ndani ya ccm ni wakati wa furaha. Tatizo likikupata wao watasepa. Mfano mzuri ni yule bibi wa UWT aliyetoka nje ya ukumbi wakati jina la EL lilipokosekana kwenye 5 bora. Baada ya muda leo hii amebadilika kama kinyonga na hamtambui tena EL.
Hapa nadhani kuna kosa la jinai. Labda kwakuwa wahusika ni makada wa CCM basi hakuna hatua Polisi itachukuliwa! Ebu jaribu kulinganisha hii issue na ile ya Lwakatare
Bila kutafakari kwa kina huwezi kumwelewa Tundu Lissu.
Mbona Intarahamwe wanapomtukana Mzee Jaji Warioba na tume yake, Kikwete hajawakaripia?
Kama ubongo wako unafanya kazi vizuri, Je ile saini ya Hayati Mzee Karume ndio yenyewe? Tafadhali itazame kwa jicho la tatu.
Hongera Mheshimiwa Job Ndugai kwa kuona mitazamo mikali ya wana Intarahamwe haitufikishi kokote. Ntarahamwe mwenzio Lukuvu kesha chafua hali ya hewa kule Zanzibar kwa kauli zake za kipumbavu kanisani na mjengoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.