Wanaume mna matatizo gani, nina rafiki yangu ameolewa ndoa ndo kwanza changa ina mwaka tu, mwanzo mapenzi yalikua matamu baby baby nyingi mawasiliano usiku kucha SMS kila saa.
Ila walipofunga ndoa tu kuanza kuishi pamoja baada ya muda mwanaume akahamishwa kikazi mkoani, ikabidi wahame wote hapo...
Habari zenu wadau
Jamani mimi nina katabia ambako mi mwenyewe sikapendi ila ndo sijui mazoea najikuta nachukia kuvaa chupi. Nitaoga nitavaa ila chupi sivai na kuna muda najikuta period imeanza na sijavaa chupi ntakimbia kuoga ndo ntavaa coz ya period.
Nikimaliza period tu sihitaji tena chupi...
My dear sikukurupuka kuna sababu maalumu ndo nikaamia kwake na nilimpa mashart akatekeleza mapenz upofu na kumweka sana moyoni kumeniponza ila nimejifunza najua mungu ajapanga niwe nae acha nisepe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.