Recent content by love peace

  1. L

    Pitia hapa ushauri wako muhimu

    sina mawazo ya hela,but future life.
  2. L

    Pitia hapa ushauri wako muhimu

    hv mkuu unaweza kupanpga njama ya kumfanyia unyama mtu umpendae?kama kaweza kwa kdog how about kikubwa?
  3. L

    Pitia hapa ushauri wako muhimu

    cjaumia na hela hata kdog.but amewezaje kupangana na mtu kunifanyia hvyo.means anaweza hata kupanga kuniibia au hata kunidhulu ksa hela huko badae lyk kweny ndoa.
  4. L

    Pitia hapa ushauri wako muhimu

    Hope mko salama wakuu... Mi nina mpenzi wangu tulikuwa tunapendana sana but kwa sasa nahisi hanifai na hii yote ni kutokana hiki. Nilipanga chumba somewhere, but kabla sijamaliza mwezi nikapata kazi Morogoro, ikabidi chumba tutafute mtu aingie aturudishie kodi iliyobaki mi nkaja kazini...
  5. L

    Mwanamke: Usafi wa 'maakuli' muhimu, sio vizuri kukutana na mtu ananuka sehemu za siri

    we hukumpenda bwana usijitete,huwezi kumuacha mtu kwa kitu kidog kama hcho.umemalza haja zako umesepa.
  6. L

    Mchumba kakataliwa kisa shepu

    ivi wew unajitambua kweli,unaoa wew au dada zako ndo wanatumia hyo shepu ya huyo mchumba wako!kuna mawazo ya kuyasikiliza kutoka kwa ndug lakin mengne hayawahusu ,acha umbulula wew.
  7. L

    For Ladies:: Tujue aina za Waume Hapa

    mi jaman wang namba 10,mh namshukuru mungu.
  8. L

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    kama ni patner kibiashara nipo tayar,we nielekeze tu vnafanyaje.
  9. L

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Natumain mu wazma wakuu,mi ni graduate jaman,nimetuma maombi bila mafanikio.lakin nina mtaj wa 100000,nawaza biashara ipi naweza kufanya iniinue kimaisha.ntashukuru kwa mawazo yenu jamani. Mimi ni msichana wakuu.
  10. L

    Ushauri wenu ni muhimu

    Wakuu,kati ya kufanya biashara ya kuuza nguo vyuoni hapa Dar kwa mtaji wa laki moja,na kufanya kazi kwenye godauni kwa mshahara wa laki moja kipi ni chema hapo jamani? Nishaurini wakuu.nahitaj msaada wenu.
  11. L

    Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

    nina degree ya public admistration.pia uwezo wa kufundsha ninao masomo kama english na kiswahili.
  12. L

    Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

    elimu yang ni chuo.lakin nahtaj kaz yoyote hata ya kuuza duka au restaurant.au kazi yoyote halali ndug yang.maisha yang ni magum sana.
  13. L

    Jamani Kwanini Inakuwa Hivi?

    Habari zenu wana JF Jaman sijaelewa why inakuwa hivi wandugu.Yan nilipost hum ombi lang la kusaidiwa kazi yoyote cause maisha yamekuwa magumu jamani, lakini watu waliniahidi vingi halafu wananipotezea. Jaman napata tabu msipende kuongopea wakati mtu anapata tabu. Jamani nisaidien kazi...
Back
Top Bottom