Nadhani alikua anamaanisha msiba wa Mama Lucy Kibaki, the former first lady of Kenya,
Kikwete hajaenda ila ameenda ubalozi wa Kenya hapa nchini kwa ajili ya salamu za maombolezo.
Kuna haja ya wafanyakazi kupewa mnyambuliko wa haya makato ili hata wakiambiwa imepunguzwa asilimia 50 kwenye kodi fulani washangilie kimsingi na sio kushangilia tu kumbe hela iliyokatwa hata chips kavu hainunui.
Well said Masanja, nadhani watu wanatetea kwa sababu ya maslahi yao binafsi na sio ukweli. SIshangai kama media inaweza nunuliwa kumsafisha mtu sembuse kichwa kimoja tu. Tusubiri CAG alete ripoti bungeni tujue mbivu na mbichi kabisa, hata huyo mchungaji aangetunza kwanza kauli yake aje kuisema...
From what i know kwa uelewa wangu huu mdogo ni kwamba report ya CAG ikiwa inaandaliwa huwa inapitia mambo yote ya taasisi husika ikiwemo hata figisufigisu zilizojitokeza njiani, halafu CAG huwa anazinote na kwenda kuzifanyia kazi hadi apate jibu linaloeleweka, sasa taarifa zinazosamnbaa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.