Jamani kwema Mimi nataka kujua naipataje hii option kwenye sportybet
Maana nimeitafuta kwenye game mbalimbali lakini nimeikosa kabisa
1X2..10 minutes 1 up to 10 minutes
Mm naomba kujua Kwa mfano mtu ameshinda milioni 100+ au 200 na zaid
Anawezaje kutoa hiyo pesa?
Njia gani zinatumika kutoa maana najua line ya simu haipokei zaidi ya m10.
Wakuu nina mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi tisa mwenye shida ya kukohoa sana, mda mwingine anakohoa hadi anatapika
Na akianza kukohoa inachukua mda wa Hadi dk 30 mfululizo bila kupoa baada ya hapo analala.
Ila akiamka hana tatizo na siku nzima anashinda vizuri mno. Naombeni ushauri...
Wakuu Mimi Nina shida hapa kwenye option ya 2/1
Ninachojua ni kwamba 1H away win na 2H home win
Sasa mfano mechi imeenda 1H inakua 0:1 halafu 2H inakua 1:0
FT 1:1 hapo option ya 2/1 nakuwa imetoa?
Wakuu habari za kazi
Nina tatizo la kuwasha ngozi baada kuoga hali inayofanya nijikune Kwa muda wa takribani dk10 hivi ndo mwili una Kaa sawa.
Naomba mnishauri kuondokana na hali hii. Kuoga kwangu ni mateso yaani.
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni wakala wa e- money (airtelmoney, m-pesa)
Hii kazi tangu niianze Leo ni siku ya tano tu
*Sasa Jana numekutana na kitu kimenikosesha usingizi kabisa.
*Katika kubalance hesabu cash+flot nimegundua kiasi cha sh.80,000/kimepotea. Baada ya kuwashirikisha baadhi ya...
Habari za humu ndani,
Kuna tatizo limetokea Mama yangu umri 56, amepata tatizo la miguu yake kufa ganzi hali inayompelekea hata kushindwa kutembea.
Kuna mda miguu yake inatetemeka (vibration) ingawa hahisi maumivu.
Ameenda hospital amepewa dawa za mifupa+za misuli lakini hali haina...
Habari ndugu wana Jamii Health,
Mimi nina mtoto mwenye umri wa miezi 2 na wiki 2, tatizo la mtoto wangu ni kwamba hatoi haja kubwa, yaani ananyonya tu ila hakuna haja kubwa, ila mkojo anakojoa kama kawaida.
Sasa naomba wenye uelewa na hili labda tatizo ni nini? Nitumie mbinu/dawa gani mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.