Recent content by LostSoldier

  1. L

    Historia iandikwe kwa rais mstaafu Mkapa kutuongozea nchi

    Tafuta, soma na ukimaliza kusoma hivi vitabu ndo uje ku-comment kwenye thread yako mwenyewe...
  2. L

    Building Permits Tanzania: Kweli ujenzi hoela utaisha!

    Kaka, huko kwenye hati ndo uozo kabisa. Kikubwa alichokifanya waziri wetu ni kuongeza tozo mbali mbali za malipo yanayohusika na ardhi, eti ili kupata fedha za kufidia/kujenga New Kigamboni City. Vipi haya mengine yanayotukwaza?. Kuna kitu kinaitwa Kigambini Development Authority (KDA) hata...
  3. L

    Building Permits Tanzania: Kweli ujenzi hoela utaisha!

    Siasa ambazo zinatufanya tuogope kufanya hata mambo ambayo yapo Obvious na kwa manufaa ya waliowengi.
  4. L

    Building Permits Tanzania: Kweli ujenzi hoela utaisha!

    Ni jambo ambalo kwangu haliingii kichwani eti kupata kibali (Building Permit) cha kujenga hata nyumba ya kuishi (Residential House) hapa Dar es Salaam Tanzania ni mlolongo unaochukua zaidi ya miezi 7. Ni vema kuwa taasisi zinazohusika zikapata muda wa kuchanganua na kupitia maombi yote ya vibali...
  5. L

    Kwa hili la Mh. Kapuya nasema HAPANA, CP Suleiman Kova amepotoka.

    Kwakweli hata mie huwa namshangaa sana CP Kova, habari na mabo anayoyaongea katika vyombo vya habari ni karibia na ujuha. Nakubali kabisa huwa anaacha hali ya maswali zaidi ya kukidhi kiu za watu na waandishi wa habari. Halafu, mie naona hizi ni muvi, likitokea tatizo, kila hatua inayofanyika...
  6. L

    Serikali ya Tanzania imeridhia Marekani kujenga Mtambo wa Nuclear Tanzania?

    Kuna taarifa za chini kwa chini kuwa serikali ya Tanzania imeridhia Marekani kujenga mtambo wa Nuclear nchini, je kuna yeyote mwenye taarifa na hili? Kuna watu kutoka Marekani wameanza research ya masuala kadhaa kuelekea huko. Hivi kweli Serikali inaweza kufanya uamuzi huu na kuufanya...
  7. L

    Master PLan ya Mji mpya wa Singapore

    Ni vema kuangalia mfano au mifano ya waliondelea ili kujifunza na hatimae kufanya kama hao au kufanya zaidi ya hao. Lakini kwa nchi hii; ubinafsi wa viongozi wetu, uvivu wa kufikiri zaidi ya macho yanapoona na siasa zilizotawala kila kona, kamwe hatutoweza kufikia mji kama wa Singapore. Plan...
  8. L

    LUkuvi: bilioni Moja kununua Hekta 129 kwajili ya Maziko ya Viongozi huko Dodoma

    Kweli sasa hii serikali imezidi kuiba hata mchana kweupe, kuacha matatizo mengi yanayokabili hii nchi wameona wakanunue ardhi kwaajili ya kuzika viongozi?, ambao wana familia zao, makazi yao mijini na vijijini kwao?!. Kuna kiongozi gani amewahi kukosa pa kuzikwa?. Jamaa ni mbulula lakini sie...
Back
Top Bottom