Recent content by Lordrank

  1. Lordrank

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Sawa kiongozi wangu nimekuelewa, mungu akubariki 🙏 kwa ushauri wako mkuu
  2. Lordrank

    GE2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

    Uzuri ni kwamba we mwenyewe unaongea lakini ukweli unaujua kuwa Lissu hawezi kuwa rais hata kidogo. Labda ni ubishi tu ambao hauna maana yoyote na kukosa weledi wa kuyajua mambo
  3. Lordrank

    GE2020 Sababu 27 za kwanini Magufuli hafai kupewa miaka mingine 5 ya kuwa Rais

    Una uhakika na unachoongea!?, Nyie Hali mnaiona kabisa media zinamuunga mkono, halafu mnatoa maneno yakujifariji!. Chadomo na Lissu subirini huu si muda mwafaka kwenu hata kidogo Jamani mtabaki kujaza threads za kumpinga Magufuli lakini ukweli ni kwamba Magufuli Hana mpinzani. Mtanzania gani...
  4. Lordrank

    Mwaka 2018 Dkt. Magufuli alisema alishatembelea Nchi nyingi Duniani akiwa Waziri. Septemba 2020 anadai eti hajawahi kwenda Ulaya tangu akiwa shuleni!

    Chadema kwa kujipa matumaini hapo nawapa big- up Sana. Lissu katu hawezi kumsumbua Magufuli ndugu zanguni. Anyway the time will speak out😉😉
  5. Lordrank

    GE2020 Tundu Lissu anaporomosha wafuasi wa Magufuli kila saa kila siku kwa kasi ya ajabu, JK anaingia rasmi ulingoni kupambania jahazi

    Unavimba humu Jamii forum kumbe bado unaishi kwa babaako😂😂. Halali umpinge hata Magufuli because you know the price of things not the value 😉.
  6. Lordrank

    GE2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

    Hapa ndo utawajua wafuasi wa Tl All are fool.
Back
Top Bottom