Recent content by lord atkin

  1. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kukamatwa na kushitakiwa ni kuvikwa taji la dhahabu

    Wapokee ushauri wako
  2. lord atkin

    JamiiForums Tanzania AI: Lissu akifungwa kwa uhaini kutakuwa na taharuki kubwa, maandamano na vurugu za kiusalama.

    Ikiwa Makamu Mwenyekiti (au kiongozi mkuu) wa Chadema, Tundu Lissu, atafungwa kwa kosa la uhaini, hali ya hewa ya kisiasa nchini Tanzania inatarajiwa kukumbwa na taharuki kubwa, migawanyiko ya kiitikadi, na shinikizo kubwa la kimataifa. Kesi hii inayomkabili, ambayo kwa sasa inaendelea katika...
  3. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kuzuia No Reforms No Election tubadilishe sheria tuwe kama Singapore?

    Kwa sheria hizihizi
  4. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kuzuia No Reforms No Election tubadilishe sheria tuwe kama Singapore?

    Nchini Singapore kwa mujibu wa sheria kupiga kura ni lazima. Kila mwananchi ana jukumu la kupiga kura na mwananchi ambaye hatashiriki kupiga kura bila sababu ya msingi kama vile ugonjwa au kuwa nje ya nchi jina lake linaondolewa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Ili kulirudisha jina...
  5. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Mwl Nyerere: Tunataka kuona Vijana Jasiri, wanaohoji mifumo Kandamizi, Wasiotikia Ndiyo Mzee

    Tunataka vijana "waasi" dhidi ya mifumo kandamizi. Kwa kutamka neno uasi kama nyerere angekuwepo kipindi hiki angeunganishwa na Tundu Lissu kwenye kesi ya uhaini
  6. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Rais Samia ameipokea barua iliyotokea kwa Nchimbi kwenda kwa Nchimbi kama nani wa Nchimbi?

    Hakuna aliyeiona barua husika, hiyo unaoisema wewe ni taarifa kwa umma. Baada ya nchimbi kuandika barua ya kujiuzuru ambayo imepokelewa na Rais na hajaiposti ndipo alipoandaa lile tangazo kwa umma na kuliposti. Wewe kwa akili yako ulitaka Nchimbi aposti kwa umma barua aliyomwandikia Rais kweli...
  7. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jinsi Dk Nchimbi alivyogundua Rais Samia anatamani mabadiliko

    Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu "... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...." Alipoona baadhi ya viongozi na wabunge wa ccm wanasimama hadharani na kumuita Yuda alidhani wanajituma...
  8. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aridhia Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

    Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  9. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kikatiba, uhaini haumnyimi mtu sifa za kugombea urais wa nchi

    Litagonga mwamba vibaya mno
  10. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kikatiba, uhaini haumnyimi mtu sifa za kugombea urais wa nchi

    Kama atakutwa na hatia ya uhaini na kupewa msamaha wa Rais atakuwa na sifa za kugombea udiwani, ubunge, urais na cheo kingine chochote. Kama lengo ni kumzuia kugombea urais tumnyonge au tumwache aozee jela. Nimesoma Katiba ya JMT hasa ibara ya 39 inayoeleza sifa za urais. Mambo yanayoweza...
  11. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kukamatwa na kushitakiwa ni kuvikwa taji la dhahabu

    Tanzania
  12. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Jamaa anatumia mahakama kama jukwaa la kujitangaza, kujiboresha nje na ndani ya taifa

    Hayo mawazo yanawajia kwa sababu mnafikiri anataka Urais au vyeo vya kisiasa. Lissu hajawahi kutaka kuwa Rais nilimsikia akihojiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi. Alishasema hataki urais anataka awe tu na uwezo wa kusoma sana kupata maarifa yatakayomwezesha kupigania wananchi. Hicho ndicho...
Back
Top Bottom