Ikiwa Makamu Mwenyekiti (au kiongozi mkuu) wa Chadema, Tundu Lissu, atafungwa kwa kosa la uhaini, hali ya hewa ya kisiasa nchini Tanzania inatarajiwa kukumbwa na taharuki kubwa, migawanyiko ya kiitikadi, na shinikizo kubwa la kimataifa. Kesi hii inayomkabili, ambayo kwa sasa inaendelea katika...
Nchini Singapore kwa mujibu wa sheria kupiga kura ni lazima. Kila mwananchi ana jukumu la kupiga kura na mwananchi ambaye hatashiriki kupiga kura bila sababu ya msingi kama vile ugonjwa au kuwa nje ya nchi jina lake linaondolewa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.
Ili kulirudisha jina...
Tunataka vijana "waasi" dhidi ya mifumo kandamizi. Kwa kutamka neno uasi kama nyerere angekuwepo kipindi hiki angeunganishwa na Tundu Lissu kwenye kesi ya uhaini
Hakuna aliyeiona barua husika, hiyo unaoisema wewe ni taarifa kwa umma. Baada ya nchimbi kuandika barua ya kujiuzuru ambayo imepokelewa na Rais na hajaiposti ndipo alipoandaa lile tangazo kwa umma na kuliposti. Wewe kwa akili yako ulitaka Nchimbi aposti kwa umma barua aliyomwandikia Rais kweli...
Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu
"... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...."
Alipoona baadhi ya viongozi na wabunge wa ccm wanasimama hadharani na kumuita Yuda alidhani wanajituma...
Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Kama atakutwa na hatia ya uhaini na kupewa msamaha wa Rais atakuwa na sifa za kugombea udiwani, ubunge, urais na cheo kingine chochote. Kama lengo ni kumzuia kugombea urais tumnyonge au tumwache aozee jela.
Nimesoma Katiba ya JMT hasa ibara ya 39 inayoeleza sifa za urais. Mambo yanayoweza...
Hayo mawazo yanawajia kwa sababu mnafikiri anataka Urais au vyeo vya kisiasa. Lissu hajawahi kutaka kuwa Rais nilimsikia akihojiwa na Salama kwenye kipindi cha mkasi. Alishasema hataki urais anataka awe tu na uwezo wa kusoma sana kupata maarifa yatakayomwezesha kupigania wananchi. Hicho ndicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.