Recent content by lord atkin

  1. lord atkin

    Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

    Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema. Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na...
  2. lord atkin

    Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

    Hehehe madaraka matamu
  3. lord atkin

    Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

    Kamati ya uchaguzi ya Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) imeliengua jina la Wakili Boniface Mwabukusi katika wagombea wa nafasi ya Urais wa TLS. Hatua hiyo imekuja baada ya kuwekewa mapingamizi na baadhi ya mawakili kuwa hajakidhi vigezo vya kugombea nafasi hiyo.
  4. lord atkin

    Simba hakuna sababu ya kung'ang'ania wachezaji waliosaliti timu

    Hao kina macha ndiyo wasaliti na ndiyo wanagombaniwa na viongozi. Nilikuwa siamini haya mambo ya kuhonga wachezaji mpaka jana nilipoona clip ya Juma Kaseja akikiri kuwa viongozi wa Yanga walikuwa wanamfuata kumhonga acheze afungishe ndipo nimeona hii derby ya Simba na Yanga ya kishenzi sana...
  5. lord atkin

    Haraka Simba SC itafute Msemaji mwenye kujua hasa nini maana ya Usemaji kuliko huyu 'Msemaji Comedian' ambaye haendani na Kasi ya Klabu na Mahitaji

    Timu ikiwa haiperform Kila mfanyakazi wa club anaonekana boya tu ni kawaida 😂 😂 😂
  6. lord atkin

    Nimegundua kusifu na kuabudu siyo dili kwa Rais Samia

    Tofauti na zamani nilivyokuwa nadhani nimekuja kugundua kuwa wanasiasa wa Tanzania nao wanakariri maisha kama vile mwanafunzi wa kidato cha kwanza anavyokariri masomo shuleni. Ni wazi kwamba katika awamu ya tano ili kiongozi ateuliwe au atoke kisiasa ilikuwa ni lazima ama ajipendekeze kwa Rais...
Back
Top Bottom