Recent content by LORAINNE

  1. L

    Yaliyojiri kwenye Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards

    Mwisho wa siku lazima wagundue ni sisi mashabaki wao tunaotumia muda wetu kuwapugia kura na sio clouds,kitendo cha huyo jide kususa kuja kuchukua tuzo,ni dharau kubwa kwa mashabiki,otherwise tuache kumpigia kura kipindi kingine na kutokusuport kazi zake,maana wasanii wengi wanajisahau siku izi...
  2. L

    Peter wa p square aonyesha nyeti zake

    hapa angekuwa diamond sasaa...ingekuwa inaenda page ya 15 na mitusi ya hajaa...ama kweli nabii hakubaliki kwao..
  3. L

    Happy Birthday Mwana FA

    Happy birthday kwa Baba Maleeka.....
  4. L

    Mganga Wa Diamond Platinumz Yuko Matatani

    bila diamond story hainogi ee?
  5. L

    Sir Nature Amdiss Diamond Mchana Kweupe

    mtamtukanaa sana domo...mwenzenu matusi kwake ndo chai yake,lunch yake na dinner yake....wakati mnawaza matusi mapya...mwenzenu anawaza deal mpyaa..
  6. L

    Wimbo wa Diamond washika number moja kwenye radio kubwa Nigeria

    Be an encourager. The world has plenty of critics already....
  7. L

    Wimbo wa Diamond washika number moja kwenye radio kubwa Nigeria

    and you haters.... u gonna always hate.....
  8. L

    Vazi La Diamond Platinumz Lililochangia Kupigwa Marufuku Video Ya Dully Sykes

    Duuh...bila Domo hamna habari nyingine?
  9. L

    Sir Nature Amdiss Diamond Mchana Kweupe

    ee Mungu nakuomba uendelee kumnyanyua Diamond..azidi kukua zaidi na zaidi..asirudi nyuma kamwe..hata wale wanaomtakia mabaya...waendelee kushuhudia mafanikio yake..Amen!!!
  10. L

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Ndo maana ya demokrasia..hata kama wameendea njaa..ni juu yao pia..haikuhusu..wee baki huko huko chadema na maisha yako...
  11. L

    Mange Kimambi Vs Kisa Zimba(KiKi)

    Mamaa ya bhokenzo(mange) ni shiidaahh...
  12. L

    Salama Jabir na Mkasi

    uko vizuri sana...
  13. L

    Chief Kiumbe: Prado mpya Diamond aliyopiga nayo picha ni yangu si yeke

    samahanii...naauliza..huyu chief kiumbe si nimesikia anajipumzisha kwa penny?and if so..hili swala la diamond kutumia gari lake tena..imekuaje?najaribu kuunganisha hizi dots..sipati ramani...
  14. L

    Range rover ya Lady Jaydee

    dah...
Back
Top Bottom