Mwisho wa siku lazima wagundue ni sisi mashabaki wao tunaotumia muda wetu kuwapugia kura na sio clouds,kitendo cha huyo jide kususa kuja kuchukua tuzo,ni dharau kubwa kwa mashabiki,otherwise tuache kumpigia kura kipindi kingine na kutokusuport kazi zake,maana wasanii wengi wanajisahau siku izi...
ee Mungu nakuomba uendelee kumnyanyua Diamond..azidi kukua zaidi na zaidi..asirudi nyuma kamwe..hata wale wanaomtakia mabaya...waendelee kushuhudia mafanikio yake..Amen!!!
samahanii...naauliza..huyu chief kiumbe si nimesikia anajipumzisha kwa penny?and if so..hili swala la diamond kutumia gari lake tena..imekuaje?najaribu kuunganisha hizi dots..sipati ramani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.