Spiece kama hizi nazifananisha na disposable paper plates.
Kelele nyingii mwanzoni, baada ya muda anapanga foleni makanisani na kwa waganga kutafuta mume.
Mwanamke weka mazingira ya kuolewa, weka mazingira magumu (utadhani ina TV ndani) uje ulie baadae kwamba huna bahati...
Ndio maana kuna kipindi akiuawa askari, raia wengine wanacheka na kisha serikali inawakamata. Mfano lile tukio la Staki Shari.
Hii ni moja ya sababu inayochochea ugomvi kati ya raia na askari.
Wanakera zaidi pale ambapo wanakuja kumkamata mtu. Hata kama amekubali kukamatwa, atarambwa tu walau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.