Ttcl mna mambo ya ajabu utakuta umetuma pesa kny T-pesa na imekuletea msg kabisa salio limeingi,
unajiunga kifurusi cha ajabu unaambiwa huna salio, ukiwapigia customer care hakuna msaada wowote zaidi ya kuambiwa mpendwa mteja salio lako linaonekana halijafika, hali hii imenitokea kama x 3 hv...
Poleni na majukumu, mimi ni mkazi wa dar es salaam maeneo ya Mbweni NHC jirani na Faraja Pub.
Nawaletea malalamiko yangu toka jana saa 9 mchana hatuna umeme ni baadhi ya nyumba. Nimetoa taarifa Tanesco tawi la tegeta lakini cha kusikitisha toka jana hakuna jitihadazozote zilizotekelezwa mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.