Acha kudharau imani ya wengine suala la lakupoteza sifa siyo mada hapa wao wametoa msimamo wa kanisa kuhusu katiba hayo mengine ni utashi wako pamoja na chuki binafsi.
kwani zitto ni mungu, chadema ni taasisi huyo unayemwabudu wewe ni binadamu iko siku hatakuwepo duniani lakini cdm itakuwepo ikiongozwa na watu wengine.
inaonesha ni jin si gani ulivyombaguzi hivi wa kaskazini si watanzania ,hawana haki kama wa kanda nyingine kwa mtazamo wako MWANZA ,SHINYANGA ,MARA ,MBEYA nako ni kaskazini ,ukiendelea na mawazo yako hayo ya kipuuzi huko tuendako hakika tanzania haitakuwa salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.