Recent content by lonka

  1. L

    Serikali ya CCM yazidi kumwandama Mbowe!

    ni kweli boss wewe tu ndio maarufu nchi hii
  2. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    si kazi yao kuhoji takwimu za tume, kazi yao ni kuheshimu maoni ya wananchi waliyotoa wakati wa ukusanyaji wa maoni ya katiba mpya
  3. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    Maneno yako yanaonesha jinsi ulivyompuuzi wewe nani ambao hamhitaji sadaka unajua nini maana ya sadaka.
  4. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    Hakika wewe ni wakupuuzwa
  5. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    wao ni watz kama wewe hawezi kuacha kuzungumzia siasa anayepotosha taifa ni wewe unayepigania maslahi yako binafsi
  6. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    Ndg yangu heshimu imani ya wengine tafadhali sana
  7. L

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    Acha kudharau imani ya wengine suala la lakupoteza sifa siyo mada hapa wao wametoa msimamo wa kanisa kuhusu katiba hayo mengine ni utashi wako pamoja na chuki binafsi.
  8. L

    CHADEMA kuzindua umoja wa wanafunzi Wa Shule Za sekondari ambao Ni Wafuasi Wa CHADEMA

    soma vizuri ndg yangu au nikusaidie ni umoja wa wanafunzi wa shule za sekondari.
  9. L

    Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

    kwani zitto ni mungu, chadema ni taasisi huyo unayemwabudu wewe ni binadamu iko siku hatakuwepo duniani lakini cdm itakuwepo ikiongozwa na watu wengine.
  10. L

    Tukio la Rais Kikwete, Dr. Shein kukabidhiwa Rasimu ya pili na tume ya Katiba - Karimjee Hall

    mbona kila siku mnamsema mbowe kuwa hana elimu sasa leo mmepatikana mnaleta visingizio kibao.
  11. L

    Dr. Bujara kuongea na vyombo vya habari kesho.

    kutoka kwa mafisadi
  12. L

    CHADEMA kwa hali hii bado mna maono feki ya kuishika dola mwaka 2015!

    inaonesha ni jin si gani ulivyombaguzi hivi wa kaskazini si watanzania ,hawana haki kama wa kanda nyingine kwa mtazamo wako MWANZA ,SHINYANGA ,MARA ,MBEYA nako ni kaskazini ,ukiendelea na mawazo yako hayo ya kipuuzi huko tuendako hakika tanzania haitakuwa salama.
  13. L

    Siku ya Vichaa duniani na kuongezeka kwa matukio ya vurugu nchini

    pole sana kweli wewe ni mtupu kichwani unafikiri tuko anazungumzia saikologia au magonjwa ya akili
  14. L

    Zitto Kabwe: Sijamuoa mtoto wa rais Kikwete, sipo bungeni kwa ajili ya kupigana ngumi

    kauri ndo nini au unamaanisha kauli Ona ulivyo mtupu unashindwa kutofautisha kati ya kauli na kauri we endelea kuwa mtumwa wa chama cha mafisadi.
Back
Top Bottom