Recent content by LONGITAYA

  1. L

    KUWA MAKINI unaposhoboka na wanawake barabarani!

    Uwezekano upo. Ila ni mdogo Sana Sana. Wadada wa Sasa wanaangalia masilahi zaidi. Hawezi kumuuza Mchaina KWA njemba zake Isipokuwa Mchaina kazingua kupitia MAELEZO. Bi dada akigungua Mchaina anamlipa vizuri KWA uhakika hawezi kuita njemba hata Moja. Ila tahadhari ni nzuri.
  2. L

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    INAWEZEKANA una jini mahaba. Nenda uombewe.
  3. L

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Warusi na Wachina hawatumii Kiingereza . Je hawajui Kemia na Fizikia? JF NI media ya kuelimishana. Kujua kiingereza ni vizuri. Kuna sehemu bila kiingereza utapata shida. But English si KILa kitu. Mfano. Wageni wako wangekuwa Wachina au Warusi au Taliano nk. MANTIKI ya kiingereza ingekuwa wapi?
  4. L

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Hadi EU Kuna nchi hawatumii Kiingereza. Ukienda na Kingeregeja unatoka kapa
  5. L

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    1. Kiingereza ni sawa na Kikurya tu. Au Lugha nyingine. Kutegemeana. Na upo Wapi na unafanya nini. Duniani kuna nchi na sehemu nyingi mhimu hawaongei kiingereza. 2. Omba Wamarekani wako wakupekeke Angalau kuanzia Dubai kwenda mbele , utaelewa kiingereza ni lugha Kama lugha zingine. 3. Kwa...
  6. L

    Nimevamiwa nyumbani kwangu na mwanamke niliyempa mimba. Nifanyeje?

    1. Pole Sana mkuu. 2. Si vema KUFANYANA na usiyempenda. 3. Ikilazimika KUFANYANA na usiyempenda fikiria na chukua tahadhari ya mimba na magonjwa ya zinaa. Hadi hapo tambua kosa ni lako. Kwa upande mwingine mwenzio alijipanga vizuri zaidi YAKO. 1. Most likely aliitaka mimba YAKO. Kwako ni...
  7. L

    Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

    Acha roho mbaya. Kwani ww una cv nzuri zaidi ya Dr Janabi? Akipigiwa debe unapata hasara GANI? Anachokusudiwa kushindania akiachwa yeye wewe ni Bora zaidi yake? Black skin sijui nani katuloga? Ukiona mwenzio ana dalili ya kufanikiwa wewe roho inakuuma. Una faidika nini na hiyo roho mbaya ⁉️
  8. L

    Hivi mpenzi wako akikuacha bila taarifa ndo anakuwa anamaanisha nini?

    Kuachwa ni Jambo zuri ukilinganishwa na kufanyiwa maigizo na unafiki na kuitwa mpumbafu mbele ya rafiki zake. Kwa kifupi AMETOA nafasi Ili aliye Bora zaidi yake aingie. At all Kama na wewe ni Bora . Ushauri. 1. Shukuru MUNGU. 2. Jitathimini Kama kweli kuna thamani uliongeza kwake. 3. Aliye...
  9. L

    Sijui niite bahati au nini hii?

    Mke wa mtu ongea naye serious business. Umempotezea concentration ya ndoa yake. Anakusikiliza wewe zaidi ya Mme wake. Hadi anekufaya ya option. Sasa umeharibi ndoa ya watu. Na wewe utaharibiwa. Aidha akija kwako ata chart na mwanaume mwingine. Na atondoka kwako Kama alivyoondoka KWA Mme wake...
  10. L

    Kuna Watumishi wasiyo na sifa wanakaimu nafasi ya Wakuu wa Idara kwenye Halmashauri kwa muda mrefu wakati wenye sifa wapo

    Sharti mojawapo uwe na Masters degree . Kuna wenye Masters degree lakini sifa nyingine za uongozi hawana. Kuna wasio na Masters degree lakini Wana sifa nyingine za uongozi wanazo. Hivyo kuna changamoto nyingi za kuamua sahihi nani awe mkuu wa idara yenu Wakati mwingine anatafutwa toka mbali...
  11. L

    Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa nchini Nigeria

    Kwani masikini wote Wana tabia nzuri? Au matajiri wote Wana tabia mbaya? Andiko liko biased.
  12. L

    Watu wengi wamerogwa na wengine wamelaaniwa lakini hawajitambui

    Mtoa andiko umeandika ukweli . Wengi wameshindwa kukuelewa sababu ni wahanga na hawajijui. Vitabu vikuu vya Mafundisho ya Imani, Biblia na Quran vinaeleza kwa upana kuhusu laana pamoja na uchawi. Aidha kwenye maisha ya kawaida tumefundishwa kuwa wangalifu wa Maneno tunayotumia kuhusu watu...
  13. L

    Mke aliyefiwa na mama yake mzazi lazima amuombe ruhusa mumewe kabla ya kwenda msibani? Je yapi ni masharti yanahusika?

    Mke akifiwa na Mama yake ina maana Mme amefiwa na Mama mkwe na Watoto wamefiwa na Bibi. Mara,nyingi Mke akifiwa na Mama anaelemewa na majonzi. Automatically Mme anakuwa na jukumu llisilokwepeka la kuhusuka na msibani kwa Mengi na si ruhusa tu. MMe anapaswa kuchukua Majukumu ya msibani kwa...
  14. L

    Car4Sale Nauza magari used

    Naomba taarifa za double cabin. Una model zipi KWA bei gani@
  15. L

    Mtumie mpenzi wako text hii "it's over me and you " halafu screenshot tuone majibu yake

    Usijaribu. Unaweza kuachwa kimasihara. Mnaojaribu kesho mtaleta Uzi wa KUACHWA KIMASIHARA.
Back
Top Bottom