Recent content by LONGIDARE

  1. L

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kupata hii control box hapa tz Nissan 23710-3J304 9N
  2. L

    JamiiForums Tanzania Nataka kusafiri kwa Pikipiki ya BAJA XLR 250 kupitia Mbuga ya Mikumi, Je, kuna usalama?

    Wewe pita tu ila hakikisha chombo yako ipo vizuri, kwa usiku sikushauri ila mchana ni burudani
  3. L

    JamiiForums Tanzania Nataka kusafiri kwa Pikipiki ya BAJA XLR 250 kupitia Mbuga ya Mikumi, Je, kuna usalama?

    Mbona unapita tu, labda chombo yako iwe na matatizo ndiyo hatari zaidi
  4. L

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nashukuru ila ungenipa details zaidi ninawapataje wataalamu wa computer diagnostics
  5. L

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mshana Jr, Naomba ushauri wako nina gari aina ya Nissan primera ya UK hii gari hili gari linatoa alama ya chk engine kwenye dashboard hali ukiliwasha injini inakuwa haina nguvu halafu linapiga brake fire na miss nyingiii, nimewatafuta mafundi wa umeme lakini wengi wameshindwa, unaweza...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa fundi wa magari aina ya NISSAN kutoka UK

    Mimi nakushauri tafuta fundi anayetumia Diagnosis machine kukuangalizia gari lako hapo utawapata
  7. L

    JamiiForums Tanzania Dawa ya vipele kwenye ngozi

    Hiyo itakuwa scabbies nenda duka la dawa tafuta lotion ya scabbies, halafu tiba nyingine ni usafi fua nguo kila siku na kupiga pasi kila siku abadilishe mashuka
  8. L

    JamiiForums Tanzania Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

    Ahaa umesema mnaishi jirani na kambi ya jeshi ni vyema kuenjoy marupurupu hayo, sasa kwa nini wasio majirani na kambi hizo wapate kero ?
  9. L

    JamiiForums Tanzania Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

    Habari ndiyo hiyo
  10. L

    JamiiForums Tanzania Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

    Hapa hakuna Majungu wala nini wafanyabiashara hapa wanataka competitive price ili waende sawa, miaka ya nyuma Msasani beach club kulikuwa na mambo kama haya, wenye mabaa walilalamika mpaka ikaamriwa Msasani beach club wauze kwa bei ya ushindani kama za kwenye mabaa ya kawaida
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kufungua bwalo la Jeshi uraiani si sahihi

    Kufungua Bwalo la jeshi uraiani ni kuwaumiza wafanyabiashara wengine ambao wanalipa TRA na Leseni. Hilo bwalo linatakiwa kubaki kambini. Au ni ujanja wa kuwekeza kwenye biashara zenu binafsi? Maana bia zinaletwa lakini baada ya siku mbili vinywaji vyote vimeisha.
Back
Top Bottom