Habari zenu wadau,,,jaman nisaidieni nmeomba chuo udom nmekosa ila nikaomba mara ya pili ila wananiambia detail already registered na pesa wamechukua inakuaje apo wadau
MAKUBALIANO:
1.NITAFUNDISHA KWA MUDA WOTE MPAKA PALE NITAKAPOMALIZA GHARAMA(DENI) ZAKE.
2. FIELD ZOTE NITAFANYIA APO
3. NA BAADA YA KUHITIMU MASOMO YANGU NITAENDELEA KUFUNDISHA HAPO HAIJALISHI SHULE IPO MAZINGIRA GANI.
4.NA MENGINE TUTAWASILIANA ZAIDI ATAPONIHITAJI.
Ni mwanachuo wa chuo kikuu cha dar es salaam,naomba udhamini katika masomo yangu.
Kwa taasisi binafsi,shirika, mtu binafsi anaemiliki shule ya private,naomba tuwasiliane.
Nachukua bachelor of arts with education(BaED) History and Geography.
Kwa yoyote atayekuwa tayari kunisaidia tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.