Kwani kuwa wakala wao hawana sifa na vigezo ambavyo vipo openly?yani labda mtaji kiasi fulani,eneo ambalo lina muingiliano(busy)...sitaki kuamini kama kweli imani ndio msingi labda kama wanatoa product zao bure kama sadaka,ila nashauri tusiwe wepesi kuyaongelea tusiyoyajua..sababu mm ni...
Hongera &big up sana..nakushauri usiishie kwenye kahawa pekee kuna watu wengine hawatumii kahawa kwaajili ya hali ya afya nimeona kwenye shelf kuna cocoa zipe majina yatakayomvutia mlaji ie Hot chocolate kwa wadada wadada utawavutia...
Swala la samaki au mtindi hapo inategemea na muda wako wa...
Ni kweli haya mambo yapo..ila najiuliza shida inaanzia wapi kwa mlaji au kwa mkulim
a? mfano nilienda kununua nafaka soko la Tandale sio siku nyingi sana kipindi hikihiki cha mavuno nilichokiona ilibidi nijiongeze...bei ya mahindi ya kwetu ilikua 600 kwa kilo na ya zambia ilikua 1,000/ kwa kilo...
Ni wazo zuri ..zingatia usafi sehemu yako ya biashara, kingine nionavyo kwa hali ya sasa ukipata frem usitegemee kuuza juice peke yake ,weka chai ya rangi na chai ya maziwa,maziwa fresh na hivyo vitafunio ulivyoshauriwa,kwa maana hiyo unaanza asubuhi mapema wa kubeba take away wanaoenda...
Tatizo nipo town kibaruani,nilipiga pic wkt wa jua kali na rangi ni white..ntatafuta namna
Sent from my HTC Desire 620G dual sim using JamiiForums mobile app
Kerege matumbi,unaingia ndani 1.5km ...njia ya kwenda Bagamoyo...ukitoka bunju unaingia kerege ,bei ni 28m maongezi yapo
Sent from my HTC Desire 620G dual sim using JamiiForums mobile app
Ina frem 3 bado ni mpya ina 3phase umeme,parking,3bathrooms.
Mobile:0767700292 serious buyers only
Kerege(Bagamoyo rd) ni eneo linalofuata baada ya kutoka Bunju,na Mapinga
Sent from my HTC Desire 620G dual sim using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.