Recent content by Loly

  1. Loly

    Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

    Nikipata muda nitaeleza kitabu cha mwanzo wakati wa uumbaji kuna mambo kanisa halijawahi kusema
  2. Loly

    Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

    Makanisa hadi leo hawajaweza kuifundisha bibilia kwa usahihi tokea kitabu cha mwanzo hadi ufunuo, kwahiyo wakristo wanasoma tuu kitabu wasichokielewa kinawachanganya lakini hawana namna. Alieumba dunia na wanadamu yupo ila jina lake sio Mungu, ninaamini katika uwepo wa muumbaji ni kweli yupo...
  3. Loly

    Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

    Bibilia sio kitabu cha kawaida ukikisoma kawaida huambulii kitu zaidi ya kuvurugwa.. inahitaji hekima kubwa kuielewa Bibilia
  4. Loly

    Shetani, kwa nini haukuomba msamaha yaishe? Ulipewa nafasi ya kujirudi au basi tu na wewe ulikuwa mhanga wa Matrix? Au ni kiburi chako tu?

    Kama una namna nyingine ya kuamini wewe amini tuu.. lakini story zote zilizoandikwa bibiliani zipo kwenye maisha yetu live na tunaziona sasa kama wewe unaona nizakutungwa sawa
  5. Loly

    Msiache kuiomba mizimu yenu, ndio njia rahisi ya kufanikisha mambo

    Sio watu wote wanaomuamini Yesu wamefanikiwa, pia sio watu wote wanaoamini shetani wamefanikiwa, pia sio wote wanaoabudu mizimu wamefanikiwa na sio watu wote wasioabudu chochote wamefanikiwa na hawa watu ndio nyie mnavurugana na kupingana kwasababu kila mtu ana matokeo yake kwa kile...
  6. Loly

    Kwa Nini Hakuna Safu ya 13 Kwenye Ndege? Ushirikina au Bahati Mbaya?

    Namba 13 inamaana kubwa sana katika ulimwengu wa roho na wanaoabudu shetani hiyo namba haiwataki kabisa.. sio ndege tuu chochote ambacho kitakua na namba 13 hawatakigusa hata gorofa ya 13 wao kwao ni mwiko hata iwe ni treni behewa namba 13 hawatakubali kupanda.. Iko hivi Yesu alikua na wanafunzi...
  7. Loly

    Ulimwengu wa Roho, Maswali kadhaa ya kutaka kujua ukweli usio na shaka yoyote.

    Swali lako la3 ukiwa kwenye ulimwengu wa roho unafika kokote unapotaka kufika saa hiyohiyo maana ulimwengu wa roho hauna muda kama ulimwengu wa mwili ila utakapoenda na kurudi hamna atakae kuamini maana utakao waeleza wako ulimwengu wa mwili na sheria za ulimwengu wa roho na wa Mwili ni tofauti..
  8. Loly

    Ulimwengu wa Roho, Maswali kadhaa ya kutaka kujua ukweli usio na shaka yoyote.

    Kwanza kabisa kuna Ulimwengu mbili wa Roho na wa Mwili Ulimwengu wa roho ni Ulimwengu usionekana .. Ulimwengu wa mwili ni ulimwengu unaoonekana. Ulimwengu wa Roho kwa namna nyingine ni Ulimwengu wa GIZA na Ulimwengu wa mwili kwa namna nyingine ni Ulimwengu wa NURU Tuuzungumzie huu wa Roho...
  9. Loly

    Uchawi ni nini? (Roho, Nafsi, Mwili)

    Nimependa mada ila hujaenda deep sana au mada inaendelea.... Umeongelea uumbaji from bible watu wanaelewa bibilia sio kitabu cha mwilini ni cha rohoni? Japo tunakisoma katika mwili lakini 80% ya bibilia ni rohoni kwahiyo imewachanganya watu wengi kwasababu wanaisoma mwilini na kuitafsiri...
  10. Loly

    Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

    Je kwenye ukoo wenu kuna mtu ambae alishawahi kufanya biashara ya chakula akafanikiwa?
  11. Loly

    Hii vita ya Mwanadamu na Shetani haina usawa na haki

    Mwanadamu pia ni roho na ana uwezo mkubwa wa kumzidi shetani kama atakaa katika nafasi yake ya roho ila mwanadamu amejiangalia upande mmoja tuu ambao ni mwili hapo ndio udhaifu ulipo... kwenye hii dunia ili upate access ya kuishi na kutawala ni lazima uwe na mwili sasa shetani hana mwili kwahiyo...
  12. Loly

    Hii vita ya Mwanadamu na Shetani haina usawa na haki

    Hakuna vita kati ya Mungu na shetani bali ni shetani na mwanadamu.. shetani na Mungu wanaongea vizuri tuu... ila mwanadamu na shetani ndio vita ipo uadui uliopo ni mwanadamu kuumbwa amemzidi shetani... mwanadamu ni Roho mwili na nafsi na anayo quality ya Mungu.. shetani ni roho tuu hajaumbiwa...
  13. Loly

    Nabii Musa hajawahi kumtaja Shetani mahali popote katika maandishi yake; Uasi ni uamuzi wa MTU na sio Shetani

    Uwepo wa Shetani haumpi haki mwanadamu kutenda dhambi na kuonekana hana hatia hichi ndio kitu Mungu hawezi kumvumilia mwanadamu.. ukimkosea Mungu tubu achana na issue za Shetani na ndio agano la kale liliposimamia
  14. Loly

    Mimi ni mwanahisa wa CRDB, sijapata gawio hadi leo

    Kama akili zako zimefika mwisho kabisa wa kufikiri ndio usumbuane na mambo ya hisa za mabank
  15. Loly

    Jinsi ya kuukaribisha umasikini

    Jiingize kwenye biashara ya forex
Back
Top Bottom