Recent content by Loly

  1. Loly

    Mimi ni mwanahisa wa CRDB, sijapata gawio hadi leo

    Kama akili zako zimefika mwisho kabisa wa kufikiri ndio usumbuane na mambo ya hisa za mabank
  2. Loly

    Jinsi ya kuukaribisha umasikini

    Jiingize kwenye biashara ya forex
  3. Loly

    Jinsi ya kuukaribisha umasikini

    Jiingize kwenye biashara ya forex
  4. Loly

    Huwa sivutiwi na mwanamke mwenye hizi tabia

    Poleni endeleeni kujifariji lakini muelewe mwanamke ni kama pesa hata itupwe chooni itaokotwa😃😃
  5. Loly

    Uchaguzi 2020 Wabunge wa darasa la 7 na form 4 mwisho 2020

    Akili sio za darasani peke yake... sana sana hao ambao hawajaenda shule ndio wenye kuwaendesha wasomi
  6. Loly

    Je, huku ndiko kuokoka?

    nimejifunza mambo mengi sana kwa walokole wengi wanachanganyikiwa na mafundisho wanayopewa, iko hivi mambo ya kiroho wanayaleta mwilini lazima uonekane chizi, wengi hajajua kudili na ulimwengu wa roho kwahiyo nikuchanganyikiwa kwakwenda mbele
  7. Loly

    Ambao hawajaoa na kuolewa (38-50) njooni hapa tusemezane

    Waachieni ujana wao bado wanakula ujana hao
  8. Loly

    Shida tunazozipata wadada wa makamo tulio single miaka 35 na kuendelea

    Ukweli kabisa mimi enzi zangu nilishajisemea endapo nitakaribia miaka 30 na bado sijaolewa nazaa kwanza ndio zoezi lakutafuta wakunioa liendelee
  9. Loly

    Basi la Kampuni ya Arusha One lapata ajali daraja la mto Wami

    MwenyeziMungu asante kwakuwaokoa watu wako bila Neema yako hapo watu wangepoteza maisha yao, pia tunaomba tunusuru sisi watu wa kaskazini maana ndio njia yetu ya kwenda nyumbani zetu hilo daraja liko kama mtego ni ngumu sana mtu kuamini kwamba Hilo daraja lipo hivyohivyo kabla Tz haijapata uhuru😐😶
  10. Loly

    Naombeni ushauri; Nimempenda mume wa mtu

    Hivi kwanini watu wamekua na akili fupi kwenye maswala ya mahusiano, kwani mtu akiwa ameoa ndio mwisho wa kupenda au kupendwa halafu wengi mmekazania atakua second option suala hilo la option linatoka wapi wakati mtu tayari anaelewa huyo ni mume wa mtu? Labda kama anataka kumpindua kwa mke wake...
  11. Loly

    Mungu anafaidika/anafurahia nini vitu hivi kutoka kwa binadam?

    Mpumbavu husema moyoni mwake hakuna Mungu watu kama nyie MUNGU alishawaita wapumbavu.......
  12. Loly

    USHUHUDA : Manabii wanaouza maji na mafuta yaliyoombewa…

    Ongeeni yote mpendavyo ila Suguye niacheni mwenyewe bora niitwe mjinga tena jinga ila hamjaniambia lolote kwa Suguye toeni povuu mpendavyo maji yake tutanunua na mafuta na kila atakachokisema kitanisaidia nabeba nimekubali kuwa mjinga povuu ruksa
  13. Loly

    Mali za ofisa TRA zadaiwa kumilikiwa na familia

    Huyu dada atashinda ila namshauri awe makini sana na hao wanaomsindikiza mahakamani wakijidai ni dada zake sijuhi ndugu zake hakuna lolote hao ndio wanao mteketeza wakijidai wanamuhurumia, maandiko matakatifu yanasema adui wa mtu ni wale wa nyumbani kwake narudia tena awe makini na hao...
  14. Loly

    Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

    Vijana mnaopenda kitonga stukeni jinamke limekuzidi 10yrs bado linakuja kukuloga jamani vijana wa sasahivi mko kwenye hatari kweli bure itawatokea puani. Huyu mtunzi hadithi yake inamafundisho hasa kwa vijana wapenda kuolewa maana mlezi wa wana hana jipya zaidi yakuwaza maumbile makubwa ya...
Back
Top Bottom