Nadhani nia iliyokusudiwa sio hiyo ambayo umeifikiria, mkuu. Lengo lao ni kuhakikisha bima inatumika kwa mlengwa, ndio maana anapewa taarifa muhusika mkuu. Pia, inasaidia kujua kwa mfano mtoto amezidiwa, yupo chuoni hajakupa taarifa, then inakuwa rahisi kujua.
Hizi details huwa wanachukua kwny sites mfano Website ya kununua magari inayoitwa Enhance Auto ukiingia kusoma details za gari kuna kipengele kinaonesha fuel consumption.
Zile huwa ni estimation za gari ikiwa mpya,so huwa inakuwa tofaut kdg kwa sabab gari unakuta umeagza ina 80,000kms so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.