Recent content by loita

  1. L

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    tunajifunza vitu viwili,ukiwa maarufu usiwe uongo,kipindi cha mkasi alisema hanywi pombe,sasa nini kimetokea,kale katoto kwenye kipindi hichohicho kalisema hakana boyfriend.unayofanya gizani mungu huyaweka mwangani.namsikitia kale kabinti kwani nikadogo sana.Kanumba mungu amempenda zaidi
  2. L

    Police kusimamisha shuhugili za kimaendeleo kwa sababu za kiusalama,wananchi husika wametendewa haki

    Wananchiwamezuiwa kufanya shuhuli zinazowapatia kipato cha kila siku na kunyanganywavitendea kazi vyao kwa sababu za kiusalama ikiwa ni pamoja na kutopatikana kwa silahaya askari police aliyeuwawa.silaha hiyo na risasi kufananishwa na simba 60walioachiwa uraiani. Maswalininayojiuliza ·...
  3. L

    Jinsi Lowassa alivyojichomeka sherehe za RC Ifakara na kumchefua kardinali Pengo

    niukweli lowasa amesamehewa na kanisa halimbagui,Tatizo anashida ya msingi ambayo mtu yoyote mwenye akili timamu ataelewa jamaa ni mlafi wa madaraka kupindukia.hapa ndio watanzania wengi tunajiuliza analilia madaraka ili afanye nini?atufisadi kama alivyofanya kwenye richmond au anataka kufuta...
Back
Top Bottom