Kwanza kabisa ktk tamaduni zetu binti/msichana ndio anakuaga na hizo hobby na usipomtoa out kama wenzie hata akikulaumu ni sawa,Ila MKE mwenye majukumu ya kulea na kupanga pamoja na kusimamia bajeti ya nyumbani,automatically huwa anakuwa busy na mambo ya home na hawazi sana mambo ya out.Ila huwa...
Hapo hata nisingehangaika ningemwambia aamue moja: Kwenda shambani au abaki nyumbani,na Ole wake nikirudi nimkose home. Hata priority kati ya kiwanja na birthday hajui?
Mabibi wa makabila ya kaskazini yaani Wachaga,wameru na wamasai wanaweza kukojoa wamesimama,sanasana wakiwa shambani na ni miaka mingi wanafanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.