Recent content by loi der

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kuna nini Hospitali ya Kairuki?

    bila data ni vigumu kuafikiana na hilo, inawezekana pia hio ndio kati ya hospitali inayopata wagonjwa wengi hivo basi wanaopona vile vile ni wengi zaidi.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Sijui ni mimi tu ila nahisi anayoyafanya prof Lipumba na Dr Slaa ni kitu planned ndani ya UKAWA, some rescue mechanism if plan Lowasa ikianza tetereka( a certain come back strategy). Something tells me wote hao wanajua exactly what wanafanya na hakuna mpasuko wowote, ni a joint plan. Prof...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Comparison between Kenya and Tanzania (Tofauti kati ya Kenya na Tanzania)

    umakini wako mkuu umeni impress na kunichekesha at the same time ...you also don't know that between number nine (9) and number seven (7), there is number eight (8). Next time remember that, illiterate kenyan..
  4. L

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa Dr. Slaa na Edward Lowassa!

    umeandika hoja zako vizuri sana lakini umekosea sehemu moja tu...ku discredit mwanamke kwenye mambo ya msingi, kwamba mke asishirikishwe kwenye mambo yanayohusu chama,umeonesha upeo mdogo na mfumo dume ambao tunaupiga vita sana. Hilo tu limekuangusha otherwise you have got a very analytical thread
Back
Top Bottom