Habarini wanajamvi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Jana tarehe 28.10.2020 wakati wa upigaji kura tulishuhudia namba zetu za vitambulisho zikiandikwa kwenye karatasi za kupigia kura wakati za kupiga kura na wengi wetu hatukuelewa kwanini.
Basi unachotakiwa kujua ni...
Ndug, jamii ya jf imekufunza kweli kweli leo, umejibiwa ipasavyo.
Wakati mwingine jitahid kupunguza level ya kiherehere kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nafikiri wale wanaoambukizwa ni vema waji-organize hata km ni wawili ili wamshtaki muhusika.(MF.wadada wawili wanaoamini wameambukizwa na mtu mmoja)
Muambukizwaji mmoja pekee kushitaki na kushinda ni ngumu hasa kwenye kujua\kung'amua nani kamuambukiza mwenzie I.e kat ya mwanaume na...
Baada ya safari kuelekea sehemu ambayo sikuitambua, tulifika sehemu husika na nilitambulishwa kwao laivu baada ya kufika hapo.
Moyo wangu ulijaa maumivu sana, nilitokwa na machozi, jasho lilinitoka na Katu sikuamini kwamba nimebaki peke yangu na watu ambao sijawahi kuonana nao katika maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.