mm ni mwalimu nipo mbeya mjini anayetaka tubadilishane nae kituo cha kazi mimi nije ilala dar es salaam idara ya secondary. aliye interested nitafute kwa no hii 0753692508 au 0713130550 unaweza ni pm.pia
Alafu kuna njia nyingi za kufanya promotion ili vitu vyako viuzike so yeye katumia iyo njia ya kutoa kipande iko kidogo anafanya biashara so promotion muimu ili bidhaa ziuzike ayupo kwenye music industry kuuza nyago its bussnes guyz
Na diamond kainfluence sana wasanii wa bongo uyo ali kiba mwenyewe anafata nyendo za mdogo wake nae anastruglle hard akiwa jukwaani not like before anacheza kimtindo na crew yake cyo kama before alkua anajikuta super star na hata kwa wengine pia diamond kawa mfano kwako wabishi wakajichimbie shimon
Na swala la t.I kupiga collabo na kiba inausu nini kila shetan na mbuyu wake mbona usem diamond kawania tuzo Bet au kapiga collabo na wangap ambao kiba ajapiga nao
Umetoa point ule alifanya umafiki. MbeLe ya media aonekane hana chuki wakati ni heater tuu ukitaka. Kujua kiba n heater na pia ana wivu tu tafuta uangalie mkasi alipokua anahojiwa na salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.