Hapa ndio utajua unasema na 'vijana' (wanahofia kazi zao) ama 'wazee' (wasio na lakupoteza), ila Mwl. alishasema, shikamana sana na 'wazee' 'vijana' wanahofia vikazi-kazi vyao
Inasaidia kutoa sumu ya hasira mwilini!
Usipolia wakati unahasira, mwili hutengeneza sumu ambayo huleta depression!
Ndio mana wanaume wanakufa mapema zaidi kwakuwa hawalii, na inapotokea wanajisikia kulia hujizuia, mwishowe ni death!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.